Jinsi ya kuwa Tajiri

mkuu umeongea point japo watu hawatakuelewa (haaswa kwa utajiri wa haraka)
 
WUDI, economista

'Kwani wao hawajui kwamba Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye na akamkadiria ? Hakika katika haya (ya riziki na mali) bila shaka zipo Ishara (za Nguvu za Mwenyezi Mungu) kwa watu wanao amini.

Qur'an: 32:52.
 
Last edited by a moderator:
Fanya kaz kwa bidii vinginevyo utaendelea kuwa maskin na utakufa na umaskun wako

........hakuna watu wenye bidii kama Wana Apollo !.........wengi hufa maskini ! :confused2:
 
Jamani kama kichwa kinavyojieleza, nauchukia sana umaskini. Siupendi umaskini, nimefanya kazi sana za kuajiriwa na huu ni mwaka wa kumi, lakini sitajiriki. Nifanyeje?

Okoka mpe Yesu maisha yako,ataondoa hayo madhabau ya umasikini.
 
Mbona hujataja hii njia ya kupata utajiri?

"Jifunze ku-save pesa benki kidogo kidogo kama 25% ya mshahara wako kila mwezi, hii ni pamoja na kuwa na nidhamu katika matumizi ya pesa zako"

Imeekaaje hiyo???
nikiingia kazini tarehe 16 nitaanza kufanyia kazi mbinu hii.
nusu ya mshahara lazima nisevu, nitabana sana matumizi
lazima niwe na namna ya kuja kuwa na hela nyingi, matumizi kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…