Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,334
- 3,004
Nataka nijaribu kule kunyoa kwa T. Lissu.
Naona huwa kuna mtoa sn. Hata anavyo tupia mavazi. Kumbe yule mkurya wake ni hatari hivi?.
Ngoja nitakopi na kupaste kwa T. Lissu nae muona Bongo.
Musituwekee humu mipicha ya Wazungu na Black Americans. Wale ni mixed blood , muonekano una wabeba sn.
Naona huwa kuna mtoa sn. Hata anavyo tupia mavazi. Kumbe yule mkurya wake ni hatari hivi?.
Ngoja nitakopi na kupaste kwa T. Lissu nae muona Bongo.
Musituwekee humu mipicha ya Wazungu na Black Americans. Wale ni mixed blood , muonekano una wabeba sn.