Jinsi ya kuwa mchawi

Jinsi ya kuwa mchawi

we nenda Namabengo Songea kuna mtu anaitwa biti ndembo atakufundisha
 
Habari wadau.
Ninaomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ninavyoweza kuwa mchawi(mwanga). Lakini nawaahidi sitautumia vibaya kuwadhuru wengine. Nawasilisha

Umepata ajira kamati ipi ya ufundi Simba au Yanga?
 
Habari wadau.
Ninaomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ninavyoweza kuwa mchawi(mwanga). Lakini nawaahidi sitautumia vibaya kuwadhuru wengine. Nawasilisha
Natoa kozi ya namna ya kutengeneza radi,ada maelewano are you interested?
 
ingia kwenye uwanja wa message kwenye simu yako andika SUMBAWANGA halafu tuma kwenda 15678 kisha fuata maelekezo vigezo na masharti kuzingatiwa makosa yatatozwa
 
ingia kwenye uwanja wa message kwenye simu yako andika SUMBAWANGA halafu tuma kwenda 15678 kisha fuata maelekezo vigezo na masharti kuzingatiwa makosa yatatozwa
Hahahaah!! Acha hizo wewe, hapo kwenye SUMBAWANGA aandike BAGAMOYO.
 
...Hatuwezi kukupa mikoba humu jamvini,nakualika njoo Giningi tukupe masharti yetu,kama utayaweza basi utakaribishwa.
(hatutaweza kuyaandika masharti yetu humu maana yanatisha sana,kama una roho nyepesi waweza hata zimia)
 
subiri kahtaan atakuja kukusaidia kutimiza ndoto yako!

ha ha ha ha! huyo kahtaan akishirkiana na marehemu sheikh yahya ndiye aliyemtengenezea yule jamaa wa msoga aliyekuwa anaanguka KIFAFA wakati wa kampeni 2010 huku akisingizia uchovu wa swaumu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Uchawi unapewa na mwenye uchawi hupeleki maombi ya kuomba upewe. wenye uchawi ndio huamua nani wampe.Naona kwanza wewe mikono yako ya kiganjani michafu.Hakuna mchawi aweza kukupa uchawi wewe.Ila nakuona una nuksi kibao.Labda wewe ndio unajua siri yake ni nini.Maana huna maendeleo yoyote ya maana.Upo upo tu kama nungayembe.Umri umeenda and you have nothing to show!!!!

Mkuu siku hizi upo wa kununua na hata ukitaka kwa jumla au rejareja unapata Pesa yako 2.
 
Duuuh hiyo kali, yaaan wataka kuwa mchawi?? Nakushauri achana nao!
 
Jifunze roho mbaya,chuki,majungu na tabia zinazo shabiana mda c mrefu utakuwa bonge la mchawi ndugu.
 
Shukrani kwa wadau wote kwa michango. Kuna wachawi na waganga wa kienyeji wengi wananitishia ubaunsa wao sasa nataka kujua wanajivunia nini. Nilibahatika kuingia palmchat nikakutana na mchawi mmoja. Akasema uchawi ni sanaa. Unaweza ukasoma au kununua kwa faida yako tu. Akasema kozi zipo zaidi ya tano na zinapatikana kupitia facebook ya wachawi inayoendeshwa na kushirikishana uzoefu kupitia:
Witches' Voice Inc. - 12 December, 2013 - 8:29:29 AM
Anayetaka karibu ni kujifunza tu sio lazima ufanyie vitendo.
 
Back
Top Bottom