Duh! Wewe ni noma,eti unataka kuwa mchawi,nisikilize kwa makini,uchawi upo,na ukiutaka utaupata bila shaka,ila nakushauri umche MUNGU wa kweli,maana bila ya hivyo unaenda kuangamia,kama unautaka uchawi nenda kahama kuna kijiji kinaitwa ilogi,kipo km 15 kutoka mgodi wa bulyanhulu,na km 75 kutoka kahama mjini,pale kuna mama mmoja,maarufu kwa jina la mama miwani,ana shepu nzuri,c mume wa mtu japokuwa mtu mzima,yule mama ni mchawi hatari akishirikiana na mama mmoja aitwae mama boke,huuza samaki sokoni,ukifika ktk kijiji hicho ulizia yalipo maduka ya mama miwani,ana grosali,na restaurant,weka ukaribu nae,at the end of the day,mtongoze ukifanikiwa kutembea nae tu,atakuwa mpenzi wako wa kudumu,hapo hapo tumia nafasi hiyo kufundishwa uchawi,ila ukubali kuwatoa sadaka watu wa damu yako,haya kila la heri ewe mchawi mtarajiwa!