1. Sasa hivi anakuona mke/mama bomu au wa ovyo?
2. Kwanini unataka uonekane bora machoni pa mumeo, kwani historia yako ikoje?
3. Je, umejitambua ya kwamba wewe sio mke/mama bora? Ikiwa jibu ni ndiyo vitu gani vimekufanya ujitambue?
4. ????
Mpaka alikuoa alikuona wewe ni bora,
Labda baada ya kuingia kwenye ndoa. Ukapunguza baadhi ya tabia ambazo ulikuwa nazo mwanzo, jaribu kujichunguza ni wapi unapokosea,mpaka akakushusha ubora. Kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.