Jinsi ya kuwa Freelancer (Be your own Boss working from home)

Freelancing siyo lazima mtandani kwenye hizo sites. Hata hapa hapa bongo kuna freelancing activities nyingi unaweza kuanza nazo.
Mimi katika kikampuni changu nafanya na freelanser 4. Mmoja ana run social media na graphics, mwingine anakuja once a week kuweka hesabu sawa na mambo ya tra ( ana cpa ), Mwingine ni system admin anakuja once a week kufix na ku monitor IT systems na mwingine anafanya deriveries..ana boda boda.

Na hawa vijana wote wanafanya kazi zaidi ya sehemu moja na wako vizuri.

Pili freelancing is not for everyone. Kuwa freelancer unahitaji.
1. Kujua kile unachokifanya. Yaani siyo ubabaishaji. Uwe unajua haswa.
2. Hard working. Uwe unapiga kazi kama chizi. Maana wateja wako wengi wanakuwa wa last minutes.
3. Nidhamu. Uwe na nidhamu ya hali ya juu.
4. Usiwe na tamaa, kama uko busy na kuna mtu anata kukupa kazi ya muda mfupi. Mwambie ukweli..kuwa ungefurahi kufanya naye kazi lakini tayari una kazi nyingine.

Kazi nyingi za freelancing zinapatikana kwa referals, word of mouth. Ukifanya vizuri client wako wata ku refer kwa marafiki zako.


Kazi zinapoanza kuwa nyingi tafuta mtu wa kukusaidia. Mfundishe awe na viwango kama vyako, lakini usimtangulize jwa wateja. Mwache back office...slowly anzisha kampuni.

Nawatakia kazi njema
 
Thanks kwa mchango wako, But nadhani nimedefine freelancer based kwa online platforms and a side hustle.

Pia nimeelezea ways to be a freelancer and yes, anyone can be a freelancer kama ata-apply hizi methods.
 
Proud of you bro
 

Jinsi ya kuwa approved Upwork as a Freelancer and how to make money with it.
 
Utajisikiaje unaomba maji ya kunywa halafu unaletewa ya kunawa?

Jinsi ya kuwa approved Upwork as a Freelancer and how to make money with it.
 
Anha basi sawa
 
Mkuu fafanua vijana tumezagaa mtaani ila bando tunalo
 

πŸ™πŸ™
 
Kwanini msitengeneze hizo upwork au fiver za hapa Tanzania maalumu kwa ajili ya Watanzania
 
Watanzania hawa hawa ambao wanaogopa malipo ya mtandaoni na kusema kazi za online ni utapeli?
Upo sahihi mkuu

Sasa huu ndiyo muda wa kukanyaga Gia na kusonga mbele mpaka kieleweke

Hata Jack Ma amesema wakati anaanzisha alibaba huko China hali ilikuwa kama ilivyo leo hapa Tanzania lakini hakukata tamaa

Anasema Ukiona jambo tayari linakubalika na watu wote na serikali basi halina faida tena
 
Kuna hii site ya freelancer imetengenezwa na mzungu inaitwa sautipesa ipo kama Fiverr

Nimeiona

Hongera zake

Kama amelenga watz basi ajitahidi iwe ya Kiswahili zaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…