Thanks kwa mchango wako, But nadhani nimedefine freelancer based kwa online platforms and a side hustle.Freelancing siyo lazima mtandani kwenye hizo sites. Hata hapa hapa bongo kuna freelancing activities nyingi unaweza kuanza nazo.
Mimi katika kikampuni changu nafanya na freelanser 4. Mmoja ana run social media na graphics, mwingine anakuja once a week kuweka hesabu sawa na mambo ya tra ( ana cpa ), Mwingine ni system admin anakuja once a week kufix na ku monitor IT systems na mwingine anafanya deriveries..ana boda boda.
Na hawa vijana wote wanafanya kazi zaidi ya sehemu moja na wako vizuri.
Pili freelancing is not for everyone. Kuwa freelancer unahitaji.
1. Kujua kile unachokifanya. Yaani siyo ubabaishaji. Uwe unajua haswa.
2. Hard working. Uwe unapiga kazi kama chizi. Maana wateja wako wengi wanakuwa wa last minutes.
3. Nidhamu. Uwe na nidhamu ya hali ya juu.
4. Usiwe na tamaa, kama uko busy na kuna mtu anata kukupa kazi ya muda mfupi. Mwambie ukweli..kuwa ungefurahi kufanya naye kazi lakini tayari una kazi nyingine.
Kazi nyingi za freelancing zinapatikana kwa referals, word of mouth. Ukifanya vizuri client wako wata ku refer kwa marafiki zako.
Kazi zinapoanza kuwa nyingi tafuta mtu wa kukusaidia. Mfundishe awe na viwango kama vyako, lakini usimtangulize jwa wateja. Mwache back office...slowly anzisha kampuni.
Nawatakia kazi njema
Proud of you broSometimes ngekewa tu mkuu. Kuna muda mwingine ninaweza kupata kazi hata bila sababu ya msingi. Juzi usiku tu client kanipa kazi ambayo kwanza nimeibit nikiwa late, ikiwa ina maana nakuja kuibid ilikuwa ina zaidi ya proposal 50. uwa mara nyingi sibid kazi zenye proposal zaidi ya 10, ila nikasema potelea mbali nikaibid maana ilikuwa ni kazi ya kufanya kama kwa masaa mawili tu ukamaliza na ilikuwa $150. Bahati akanijibu kuwa kapoea proposal nyingi sana ila nitaimaliza baada ya muda gani, nikamjibu withini 24, akanipa nilifanya nikaimaliza na akajibu yani ilikuwa beyond his expectation so akanipa na bonge la feedback.
Sometimes ngekewa tu na siyo hii tu kazi nyingi mimi naonaga nazipata kwa ngekewa.
Hizo freelancing site ni ngumu newbies, ni vizuri ukaelezea namna ya kutengeneza profile nzuri ambayo itakubaliwa. Mfano Upwork ili uwe successful registered unatakiwa uwe na Ujuzi wa kucreate profile la sivyo itakuwa rejected kila mara. Ko nikuombe utoe somo kwa newbies
Utajisikiaje unaomba maji ya kunywa halafu unaletewa ya kunawa?
Anha basi sawaNina account tatu za paypal, zote nimezitengeneza kwa address ya kenya, kila baada ya muda flani nikipokea pesa ikafika kama dollar 2 naifunga nakuifungua tena. Ila sasa nina mpango wa wa kutengeneza account yenye jina langu niunge na store ili kuepuka kufungiwa.
Mkuu fafanua vijana tumezagaa mtaani ila bando tunaloNina account tatu za paypal, zote nimezitengeneza kwa address ya kenya, kila baada ya muda flani nikipokea pesa ikafika kama dollar 2k naifunga nakuifungua tena. Ila sasa nina mpango wa wa kutengeneza account yenye jina langu niunge na store ili kuepuka kufungiwa.
Jinsi ya kuwa approved Upwork as a Freelancer and how to make money with it
Hi there, I hope upo poa wherever you are... So, last time nili-post a thread kuhusiana na Jinsi ya kuwa freelancer (Be your own boss working from home), nilipata meseji na replies on how to be approved on Upwork maana most people (wanna-be-freelancers) huwa wanakuwa rejected au banned...www.jamiiforums.com
Jinsi ya kuwa approved Upwork as a Freelancer and how to make money with it.
Watanzania hawa hawa ambao wanaogopa malipo ya mtandaoni na kusema kazi za online ni utapeli?Kwanini msitengeneze hizo upwork au fiver za hapa Tanzania maalumu kwa ajili ya Watanzania
Acha tu, inaumiza sana! π€¦ββοΈWatanzania hawa hawa ambao wanaogopa malipo ya mtandaoni na kusema kazi za online ni utapeli?
Upo sahihi mkuuWatanzania hawa hawa ambao wanaogopa malipo ya mtandaoni na kusema kazi za online ni utapeli?
Kuna hii site ya freelancer imetengenezwa na mzungu inaitwa sautipesa ipo kama FiverrKwanini msitengeneze hizo upwork au fiver za hapa Tanzania maalumu kwa ajili ya Watanzania
Kuna hii site ya freelancer imetengenezwa na mzungu inaitwa sautipesa ipo kama Fiverr