Jinsi ya kutumia Whatsap nokia X

Jinsi ya kutumia Whatsap nokia X

ndisinzowa

Member
Joined
Aug 18, 2010
Posts
86
Reaction score
14
Hi wadau,nina nokia X bt nashindwa kuingia wattsap inakaataa inasema phone haisapot.naomba msaada
 
Mwambie mtu akutumie msg
then utaisoma katika first lane kisha nenda kwenye settings fanya backup
unistall whatsapp ingia google download whatsapp plus install utarecover data zako
then unatumia kama kawa.
 
Hi wadau,nina nokia X bt nashindwa kuingia wattsap inakaataa inasema phone haisapot.naomba msaada

Mkuu hizo ndo zinavyokuwaga,mpaka mtu akutumie whatsap msg ndo unaweza kuendelea kujibu.Labda subiri wadau waje inawezekana wanafahamu zaidi.
 
Pia unaweza kudowload app inaitwa Whatsapp launcher for nokia x. inafanya kazi vizuri tu.
Ili kufungua whatsapp badala ya kuiclick whatapp yenyewe unaclick whatapp launcher na inaifungua bila shida
 
Pia unaweza kudowload app inaitwa Whatsapp launcher for nokia x. inafanya kazi vizuri tu.
Ili kufungua whatsapp badala ya kuiclick whatapp yenyewe unaclick whatapp launcher na inaifungua bila shida

Thanks Mkuu nimefanya hvyo na inapiga mzigo fresh
 
Kaka mie,nna nokia xl na ninatumia whats app bila matatizo,
Google jinsi ya kuweka whats app,
Utapewa link za kudown load apk file ya whats app install,kisha fungua ,itakataa kufanya kazi,delete,then down load whats app plus apk file,install,open,endelea kuburudika na whats.muhimu kumbuka kuallow simu yako kupokea apps nje ya nokia store.
 
Back
Top Bottom