habari zenu wapendwa. Naomba msaada kwa hili, natumia laptop ya apple aina ya macbook pro ambayo inaoperate Mac OS X 10.8 ambayo ndo miongoni mwa latest operating system za apple. Tatizo ni kwamba napotaka kutumia internet inabidi nitumie cable au bluetooth kutoka kwenye simu ambayo inakuwa kama modem. Nikichomeka modem inashindwa ku detect na kufanya installation kama ilivyo kwa windows. Je nifanyeje ili i function?