Jinsi ya kutumia internet bure bila kuwa na bundle

Jinsi ya kutumia internet bure bila kuwa na bundle

jamani ha tunnel ime expire naomba nitumieni inbox mavitu mengine
 
M natumis dimu aina redmi hi ha tunnel iligoma kabisa kuunganishwa lakini nilimuunganishia mke wangu kwenye oppo nimwendo wa kutereza
 
M natumis dimu aina redmi hi ha tunnel iligoma kabisa kuunganishwa lakini nilimuunganishia mke wangu kwenye oppo nimwendo wa kutereza
Naomba elimu jinsi ya kutumia hii ha tunnel mana me nili install ikawa inafanya kazi lkn jinsi ya kutumia ni lazima niwashe data, bandle likiisha nayo haifanyi kazi, nieleweshe hapa tafadhali.
 
Nadhani ili tupate internet ya bure tuwekeze akili kwenye kupata kifaa kitakacho badili mawindi ya television kuja kwenye mawimbi ya internet
 
Si kweli, hapo anatumia internet ya kulipia, hiyo screenshot inaonyesha ame-connect kwa kutumia "direct connection".
 
Sijawai weka bando wiki mbili sasa
Screenshot_20231011_143601_Ma%20Tunnel%20VPN.jpg
 
AIRTEL
Ha Tunnel
Spark vpn
HTTP CUSTOM
KOBRA DNS
SSH INJECTOR
OPEN TUNNEL

lazima uwe na hat file
Ila MB 300 DAILY FREE

KWA TIGO NA TTCL
WIRE TUNE


KWA HALOTEL
PSIPHON
Ongezea hapa
TTCL
NasperVpn

Na hilo la Halotel limefungwa(halipo kwa sasa)

VPN ni hatari kwasababu zinauwa betri mapema .....uamuzi ni wako
 
Back
Top Bottom