canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,083
- 1,307
Daah kwahiyo mi nikitekwa hakuna namna ? Basi inatakiwa muongeze ujuzi ili kila mwenye sim aweze kutumia hiyo kitu kwa ajili ya usalaama wakeHii haina iyo feature.
Daah kwahiyo mi nikitekwa hakuna namna ? Basi inatakiwa muongeze ujuzi ili kila mwenye sim aweze kutumia hiyo kitu kwa ajili ya usalaama wakeHii haina iyo feature.
A download play store atazikuta application kibaoApo itabidi utafte sos emergency app
Hao wasiojulikana naona hawateki wenye kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu Kwa uzoefu,kama upo kinyume nao taadhari ni muhimu,unaweza kujilinda Kwa kutumia vitu kama live camera mfano miwani,kalamu,Kofia,nguo,nk zenye 3D camera zilizocennectiwa na internet,simu yako ikisoma code na location, pia unakuwa na code maalumu za kuzimia simu,ikizimwa kinyume uchukua Picha ya mtekaji wakati anaizima na kusend SOS Kwa watu wa karibu.Ikirushwa tu picha kwenye mitandao ya mtekaji ni rahisi kupata feedback maana hakuna MTU asie na wa kumfahamu.Daah kwahiyo mi nikitekwa hakuna namna ? Basi inatakiwa muongeze ujuzi ili kila mwenye sim aweze kutumia hiyo kitu kwa ajili ya usalaama wake
Kuna m2 kalazimishwa?Acha kuogopesha watu wewe
Nimecheka sana mkuu!Kumbe hizo simu sio kwa ajili ya kusoma desa la mama tukinao tu
naaam sahihi GTIyo ni chance. Ila kabla hwajakudaka kma wanakufata unaweza kutuma SOS hta wao bila kujua.
Maybe yesNdio njia aliyotumia yule dogo alitekwa nini, ikabidi wampotezee, kwa kuja na story mara tulimuona kwenye basi mara kajiteka.
Maana walishaona last msg sent, wakajua tayari deal imeshabumbulika