Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,693
Naandika Huu uzi sababu Tanzania sasa hivi Tunaishi kimashaka mashaka.
Leo nataka kuwafahamisha Watumiaji wa simu kuwa wanaweza tumia simu zao katika hali ya hatari kuwasaidia kuwajulisha ndugu au jamaa zao.
SOS maana yake ni "Save our Soul".
Hi ni function iliyowezeshwa kwenye simu za Samsung kuanzia S5 nakuendelea.
Pia iphone ina hii function though somehow complicated.
Ukiwa na Samsung kuanzia s5 hadi s9, utakuta option ya kuset SOS messages under advanced features.
Ukiwezesha hii function, utaweza kuwatumia watu wako wa karibu message kuwajulisha kuwa upo katika hali ya hatari na unaomba msaada.
Kutuma SOS message ni kiac cha kubonyesa Power key mara Tatu kwa haraka na message itatumwa.
Waweza pia kuwezesha kutuma picha, GPs location na kurecord audio ambazo zinatumwa kwenye number za watu wako wa karibu baada ya kubonyeza power key mara tatu.
Mfano. Kwa watumiaji wa Galaxy S8, Oreo.
Leo nataka kuwafahamisha Watumiaji wa simu kuwa wanaweza tumia simu zao katika hali ya hatari kuwasaidia kuwajulisha ndugu au jamaa zao.
SOS maana yake ni "Save our Soul".
Hi ni function iliyowezeshwa kwenye simu za Samsung kuanzia S5 nakuendelea.
Pia iphone ina hii function though somehow complicated.
Ukiwa na Samsung kuanzia s5 hadi s9, utakuta option ya kuset SOS messages under advanced features.
Ukiwezesha hii function, utaweza kuwatumia watu wako wa karibu message kuwajulisha kuwa upo katika hali ya hatari na unaomba msaada.
Kutuma SOS message ni kiac cha kubonyesa Power key mara Tatu kwa haraka na message itatumwa.
Waweza pia kuwezesha kutuma picha, GPs location na kurecord audio ambazo zinatumwa kwenye number za watu wako wa karibu baada ya kubonyeza power key mara tatu.
Mfano. Kwa watumiaji wa Galaxy S8, Oreo.