jinsi ya kutuma maombi ya jeshi

jinsi ya kutuma maombi ya jeshi

golden heart

Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
13
Reaction score
1
unachotakiwa ni kuandika barua inayoenda kwa mkuu wa wilaya yenye anuani yako ya mkuu wa wilaya k.k kupitia kwa mamlaka ya kijiji igongwe muhuli wa mwenyekiti uambatanishe na vivuli vya vyeti vyako cheti cha kuzaliwa cheti cha matokeo ya mwisho na cheti cha usibitisho wa kumalizia elimu ya sekondari reving certificate.kisha uipeleke kwa mshauli wa mgambo.nafikili umenipata kama una swali uliza
 
Na kwa wale wenye degree wafanye hivyo pia au
Muongozo plz
 
kwa mlolongo huo rushwa haiwezi kuisha
 
Na kwa wale wenye degree wafanye hivyo pia au
Muongozo plz

Hizo ni nafasi kwa form six na fom four tu sasa we jipendekeze na kidigrii chako uone utakavyopiga saluti hadi unazeeka. Cadet ya maofisa bado na ina utaratibu wake quite different.
 
Back
Top Bottom