g.n.n
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 407
- 49
Vyote maana kila kimoja kina kazi yake tofauti.
Poa bwoy.
Vyote maana kila kimoja kina kazi yake tofauti.
Kama unampango wa kucreate forum naweza kukusaidia, but utatumia SMF, PHbb au MYbb just ni PM au unaweza jaribu mwenyewe hapa Create a free website in minutes
tupe mfano wa website ulotengeneza ya forum
unaweza kutengeneza website kama jamiiforums bila kujua kucode sio ngumu sana na kama unavojua jamiiforums inatumia vbulletin ambayo ni script ya kulipia so wanaweza kuku installia wao wenyewe maana support ni 24 hrs. Ila inabidi unote vitu vifuatavyo
1. Script ya jamiiforums yani vbulletin ni ya bei kubwa inaweza fika hadi laki 5 itategemea na licence nenda website yao vbulletin.com kuona package
2. Utahitaji hosting yenye space kubwa na bandwitch ya kutosha tuseme unlimited maana mfano hapa jamiiforums tupo karibia laki 1 kila mtu ana upload vitu vyake na watu wanavidownload so utahitaji space kubwa ya kuvihifadhi. Hapa nazo zitatoka laki kadhaa
3. Kumanage hio forum. Hapa ndio pagumu zaidi kwa muda kama huu kuiweka forum yako from zero to hero itabidi ueke advertise za kufa mtu hapa napo laki kadhaa zitoke.
Hio ni introduction tu bado kuna mambo mengi tu ila uwe aware na hivo vitatu hapo juu.
Lakini alternative unaweza tengeneza cheap forum kwa kufanya hivi
1. Badala ya kutumia vbulletin au ip board za kulipia unatumia script za bure za forum maarufu zaidi ni mybb, phpbb na smf (simple machine forum) zote hizi zina mobile plugin
2. Badala ya kutafuta hosting za kulipia hapa unatafuta za bure ambazo zipo slow na bila support na hizo script nlizozitaja hapo juu unazikuta auto install. Mfano wa hosting wanaoclaim wanan unlimited hosting bure ni nazuka.net
3. Badala ya kuadvertise hapa unafanya black marketing kwa ku scam email za watu na matangazo yako pamoja na mengine mengi (do at ur own risk)
[/COLOR]apo kwenye red si ni kasheshe awezi kufikishwa kwa pilato?
example ya SMF Forums ni Rahatz ilovetz - Index. Japokuwa hizo ni amateur works.
Hii http://ilovetz.com ni ya kitanzania au?
HAKUNA CHA KUNUNUA WALA NINI BANA,KAMA KUNA WA2 KAMA WA 5 HIVI MTAKUWA MPO TAYARI TUKUTANE TUTENGENEZE MPANGO MZIMA TUWASHIKE WA EPIQ NATION ZANTEL WATUWEZESHE NA MA VODACOM TUWARUSHE NA NA MA BANNERS YAO.
CONTACT 0719-504567 wanatamani@gmail.com we can make money
Tuwe realistic. JamiiForums imefanya customization KUBWA kwenye original script ya vBulletin. Ninaongelea PHP core modifications pamoja na layout nzima. Sio sahihi kusema it can be done in hours as if unapandisha tu files, input db info, site name and BAM!, you have JamiiForums of your own!
Kwa mtu yoyote ambaye ameshawahi kuifanyia kazi vBulletin anaelewa. Tafuta internet nzima kama utapata layout(template) similar na hii.
Kuhusu languages, it's an advantage. Ukijua PHP, CSS, Javascript na AJAX utakuwa bora kwenye wed development na hata kumodify script yoyote utaweza. Ukitegemea auto-install na templates unadhani utaweza kufix bugs?
Kwa hiyo utawezaje kuinstall vbulletin katika Create a free website in minutes au Unlimited free cPanel hosting :: nazuka.net
unaweza kutengeneza website kama jamiiforums bila kujua kucode sio ngumu sana na kama unavojua jamiiforums inatumia vbulletin ambayo ni script ya kulipia so wanaweza kuku installia wao wenyewe maana support ni 24 hrs. Ila inabidi unote vitu vifuatavyo
1. Script ya jamiiforums yani vbulletin ni ya bei kubwa inaweza fika hadi laki 5 itategemea na licence nenda website yao vbulletin.com kuona package
2. Utahitaji hosting yenye space kubwa na bandwitch ya kutosha tuseme unlimited maana mfano hapa jamiiforums tupo karibia laki 1 kila mtu ana upload vitu vyake na watu wanavidownload so utahitaji space kubwa ya kuvihifadhi. Hapa nazo zitatoka laki kadhaa
3. Kumanage hio forum. Hapa ndio pagumu zaidi kwa muda kama huu kuiweka forum yako from zero to hero itabidi ueke advertise za kufa mtu hapa napo laki kadhaa zitoke.
Hio ni introduction tu bado kuna mambo mengi tu ila uwe aware na hivo vitatu hapo juu.
Lakini alternative unaweza tengeneza cheap forum kwa kufanya hivi
1. Badala ya kutumia vbulletin au ip board za kulipia unatumia script za bure za forum maarufu zaidi ni mybb, phpbb na smf (simple machine forum) zote hizi zina mobile plugin
2. Badala ya kutafuta hosting za kulipia hapa unatafuta za bure ambazo zipo slow na bila support na hizo script nlizozitaja hapo juu unazikuta auto install. Mfano wa hosting wanaoclaim wanan unlimited hosting bure ni nazuka.net
3. Badala ya kuadvertise hapa unafanya black marketing kwa ku scam email za watu na matangazo yako pamoja na mengine mengi (do at ur own risk)