Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

Patasote

Member
Joined
Nov 20, 2012
Posts
16
Reaction score
2
Jamaa Tusaidiane,Hivi JF imetengezwa Vp?Au Kupitia software gani?Nisaidieni Please!
 
Hii siyo Website ni Forum! Una uwezo gani ktk Computer Programing?
 
Jamaa Tusaidiane,Hivi JF imetengezwa Vp?Au Kupitia software gani?Nisaidieni Please!
Kitu cha kwanza huyo anayekataa sio website hajui maana ya website. Website is the application which run under browser.

Sasa hizo application ziko za aina nyingi mf: forum etc.

Jibu:
Kitu kikubwa unachotakiwa kujua ili uteneneze website kama hii ni:
1. HTML
2. Javascript
3. Server side script e.g PHP, ASP, JSP unaweza ukachagua moja wapo.
4. Database e.g Mysql, MS SQLServer, Oracle etc. na hapo unaweza chagua moja wapo.
5. Kutoka hapo sasa utaanza kujua wapi kwa kwenda sawa?
6. Cascade style sheet

La sivyo utabaki kuangalia tu.
 
unataka kutengeneza mtandao wako
 
Ni PM kama unahitaji ili nikupe somo zaidi
 
Natumia Kawaida tu, Nisaidieni Please Wakuu.
Mkuu, hii kitu huwezi fundishwa humu humu ukaelewa unless kama una aidia na mambo ya programming, ila nisikukatishe tamaa try your best level maana vichwa havifanani:typing:
 
Je Mfano Kama Unazijua Utaanzia Wapi kwenda Kuzitia hizo Javascript Code Na Php?
 
Kitu cha kwanza huyo anayekataa sio website hajui maana ya website. Website is the application which run under browser.

Sasa hizo application ziko za aina nyingi mf: forum etc.

Jibu:
Kitu kikubwa unachotakiwa kujua ili uteneneze website kama hii ni:
1. HTML
2. Javascript
3. Server side script e.g PHP, ASP, JSP unaweza ukachagua moja wapo.
4. Database e.g Mysql, MS SQLServer, Oracle etc. na hapo unaweza chagua moja wapo.
5. Kutoka hapo sasa utaanza kujua wapi kwa kwenda sawa?
6. Cascade style sheet

La sivyo utabaki kuangalia tu.

lazima ujue vyote au hata kimoja wapo?
 
unaweza kutengeneza website kama jamiiforums bila kujua kucode sio ngumu sana na kama unavojua jamiiforums inatumia vbulletin ambayo ni script ya kulipia so wanaweza kuku installia wao wenyewe maana support ni 24 hrs. Ila inabidi unote vitu vifuatavyo

1. Script ya jamiiforums yani vbulletin ni ya bei kubwa inaweza fika hadi laki 5 itategemea na licence nenda website yao vbulletin.com kuona package

2. Utahitaji hosting yenye space kubwa na bandwitch ya kutosha tuseme unlimited maana mfano hapa jamiiforums tupo karibia laki 1 kila mtu ana upload vitu vyake na watu wanavidownload so utahitaji space kubwa ya kuvihifadhi. Hapa nazo zitatoka laki kadhaa

3. Kumanage hio forum. Hapa ndio pagumu zaidi kwa muda kama huu kuiweka forum yako from zero to hero itabidi ueke advertise za kufa mtu hapa napo laki kadhaa zitoke.

Hio ni introduction tu bado kuna mambo mengi tu ila uwe aware na hivo vitatu hapo juu.

Lakini alternative unaweza tengeneza cheap forum kwa kufanya hivi

1. Badala ya kutumia vbulletin au ip board za kulipia unatumia script za bure za forum maarufu zaidi ni mybb, phpbb na smf (simple machine forum) zote hizi zina mobile plugin

2. Badala ya kutafuta hosting za kulipia hapa unatafuta za bure ambazo zipo slow na bila support na hizo script nlizozitaja hapo juu unazikuta auto install. Mfano wa hosting wanaoclaim wanan unlimited hosting bure ni nazuka.net

3. Badala ya kuadvertise hapa unafanya black marketing kwa ku scam email za watu na matangazo yako pamoja na mengine mengi (do at ur own risk)
 
Jamii forums inatumia software ya kununua https://www.vbulletin.com/ , ukinunua hiyo software unaweza kusetup forum kama hii ndani ya masaa kadhaa, hakuna cha programming.
 
HAKUNA CHA KUNUNUA WALA NINI BANA,KAMA KUNA WA2 KAMA WA 5 HIVI MTAKUWA MPO TAYARI TUKUTANE TUTENGENEZE MPANGO MZIMA TUWASHIKE WA EPIQ NATION ZANTEL WATUWEZESHE NA MA VODACOM TUWARUSHE NA NA MA BANNERS YAO.
CONTACT 0719-504567 wanatamani@gmail.com we can make money
 
Back
Top Bottom