Jinsi ya kutengeneza ID Cards naomba msaada

Jinsi ya kutengeneza ID Cards naomba msaada

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,504
Reaction score
8,253
Wakuu heshima kwenu, naombeni msaada jinsi ya kudesign ID card kwa njia rahisi? Je ni software gani inafaa?
 
Id cards zipo za aina nyingi, japokuwa jukusema za aina gani, nikimaanisha materials inayotumika kutengeneza sababu kwa sasa kuna ID za plastics, embossed, manila na hizi kama za Bank n.k

Njia rahisi ya kudesign Id cards ni kwa kutumia Ms Publisher ambayo watu wengi wanaitumia.

kwa upande wa software gani ni nzuri, kwa maoni yangu inategemea na utaalam wako katika graphics upo juu kiasi gani.
software zinazotumika zaidi ni Photoshop, Publisher, Gimp and CorelDraw.

Pia jaribu kupitia hizo sample nilizoattach.
 

Attachments

Unaweza kutumia software yoyote ya Graphics cha muhimu ni kujua vipimo vya hiyo ID card
 
Id cards zipo za aina nyingi, japokuwa jukusema za aina gani, nikimaanisha materials inayotumika kutengeneza sababu kwa sasa kuna ID za plastics, embossed, manila na hizi kama za Bank n.k

Njia rahisi ya kudesign Id cards ni kwa kutumia Ms Publisher ambayo watu wengi wanaitumia.

kwa upande wa software gani ni nzuri, kwa maoni yangu inategemea na utaalam wako katika graphics upo juu kiasi gani.
software zinazotumika zaidi ni Photoshop, Publisher, Gimp and CorelDraw.

Pia jaribu kupitia hizo sample nilizoattach.

Unaweza kutumia software yoyote ya Graphics cha muhimu ni kujua vipimo vya hiyo ID card

Nishajua kudesign kwa kutumia photoshop, sasa ugumu umebaki katika kuprint, nina epson printer l800 na nimeona video fulan jamaa anaprint hadi card 2 na hadi 10 kwa wakati mmoja, kuna maujanja gani hapo?
 
Acha kutokufikiria kwa makini!! Kwanza unajua kutengeza business card!!? Unaweza kuprint paper size ya A4 na kupata id nyingi kulingana na ukubwa wa id.

Tengeneza id zko alafu niweke kweny orientation sheet ya A4 save as pdf, then print...!
 
Nishajua kudesign kwa kutumia photoshop, sasa ugumu umebaki katika kuprint, nina epson printer l800 na nimeona video fulan jamaa anaprint hadi card 2 na hadi 10 kwa wakati mmoja, kuna maujanja gani hapo?

Hiyo printer unnayo muda gani sasa? vipii ufannisi wake.
 
hiyo printer unnayo muda gani sasa? vipii ufannisi wake.

Ninayo miezi miwili hivi, ni nzuri, jana valentine day nilikuwa buzuruga plaza nimetupia red kapeti ful kupiga mapicha niliprint zaidi ya picha 800 na niliziuza bukubuku nilipata zaidi ya 800,000

Yaani nina fulaha hela yangu ya printer imerudi mapema sana sasa naona hii printer kama niliikota ana nilipewa bure, ni nzuri lakin sijawahi itumia zaidi ya kuprint picha ingawa ina uwezo wa kuprint CD.
 
Kudesign unaweza tumia tools zozote ambazo upo comfortable nazo.. Kwa urahisi wa kuprint huwa kuna software fulani zinatumia database of some sort.

Kwa hiyo unadesign Id card yako then unaingiza data kwny hiyo database including photos kama zinahitajika..

So design moja lakini unaprint as many as you want.
 
Ninayo miezi miwili hivi, ni nzuri, jana valentine day nilikuwa buzuruga plaza nimetupia red kapeti ful kupiga mapicha niliprint zaidi ya picha 800 na niliziuza bukubuku nilipata zaidi ya 800,000

yaan nina fulaha hela yangu ya printer imerudi mapema sana sasa naona hii printer kama niliikota ana nilipewa bure, ni nzuri lakin sijawahi itumia zaidi ya kuprint picha ingawa ina uwezo wa kuprint cd

Dah! Nami ninayo hiyo. Ni nzuri sana. Natumia kuprint kazi zangu za kiofisi ila sijaipatia dili la ukweli. Unatumia photo paper za saizi gani? Maana nimetafuta 5x7 town nimekosa.

ID kama wasemavyo wengine tumia ms publisher
 
Wakuu heshima kwenu, naombeni msaada jinsi ya kudesign id card kwa njia rahisi? Je ni software gan inafaa,

kuna ID za aina tofauti:

plastic ID na Paper ID.

PLASTIC ID.

Zinaprintiwa kwa kutumia pigment ink. pigment ink ni wino maalum ambao hata kwenye hiyo printer yako unafaa lakini ni gharama na upatikanaji wake ni adimu.

Epson l800 inakuja na CISS ya wino wa DIE subblimation na sio pigment. na ukitumia wino wa die kuprint plastic id wino hautakauka.


PAPER ID.
Hizi hutumia wino wowote ule ila lazima ufanye lamination.
 
Nishajua kudesign kwa kutumia photoshop, sasa ugumu umebaki katika kuprint, nina epson printer l800 na nimeona video fulan jamaa anaprint hadi card 2 na hadi 10 kwa wakati mmoja, kuna maujanja gani hapo?

Ukisha design either kwa phoshop au software yoyote ya graphics ... unasave kama jpeg au png. Then unafungua publisher unachagua business cards kwenye na una insert hiyo image... print settings unaweka number of pages per sheet iwe10.
 
Dah! Nami ninayo hiyo. Ni nzuri sana. Natumia kuprint kazi zangu za kiofisi ila sijaipatia dili la ukweli. Unatumia photo paper za saizi gani? Maana nimetafuta 5x7 town nimekosa. ID kama wasemavyo wengine tumia ms publisher

Mkuu nadhani hiyo size kwa sasa unaweza kutumia A4 photopaper na kuikata. hope utapata picha 2 kwa A4.

Mimi huwa naprint zaidi 4*6 na A4 fullpage photo sijatafuta 5*7 kwa hapa arusha.
 
  • Zitumike karatasi za A4



  • Fuata maelekezo yafuatayo ili kupata karatasi za 4*6 AU 5*7


m_SAM_0594.jpg
Mahitaji

1. Paper Cutter

2. Karatasi za picha size ya A4

3. Karatasi ya kawaida ya A4

m_SAM_0597.jpg

Jinsi ya Kufanya

1. Chukua karatasi ya A4 ya kawaida na ikunje mara mbili (angalia Picha ) - Hapo utakuwa umepata size ya 4*6.

2. Weka hiyo karatasi katika paper cutter kisha nakili urefu na upana wa hiyo karatasi uliyoiandaa hatua ya kwanza. Urefu utapata 15cm na Upana ni 10.5cm.

3. Sogeza Marker ya Paper cutter kulingana na vipimo ulivyopata hapo (2).

4. Kata Karatasi mara mbili.

m_SAM_0599.jpg


  • Kwa 5*7 unaigawa karatasi mara mbili


CHANZO: https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/790892-nikisafisha-picha-kwa-tsh-2000-itanilipa.html

Dah! Nami ninayo hiyo. Ni nzuri sana. Natumia kuprint kazi zangu za kiofisi ila sijaipatia dili la ukweli. Unatumia photo paper za saizi gani? Maana nimetafuta 5x7 town nimekosa. ID kama wasemavyo wengine tumia ms publisher

mkuu nadhani hiyo size kwa sasa unaweza kutumia A4 photopaper na kuikata. hope utapata picha 2 kwa A4.

Mimi huwa naprint zaidi 4*6 na A4 fullpage photo sijatafuta 5*7 kwa hapa arusha
 
Mwl.RCT,

asante mkuu kwa maelezo.

mimi nina tatizo lingine... ninatafuta karatasi ngumu za business card.. zile ambazo sio glossy ila ni ngumu kuliko hizi manila za stationery. pia ambazo naweza kuprint on both sides.

nikipata za A4 ni sawa pia nikipata size nyingine kubwa zaidi nitafanya kukata.
 
Last edited by a moderator:
mkuu nadhani hiyo size kwa sasa unaweza kutumia A4 photopaper na kuikata. hope utapata picha 2 kwa A4.

Mimi huwa naprint zaidi 4*6 na A4 fullpage photo sijatafuta 5*7 kwa hapa arusha

Hilo wazo nimekuwa nalo ila sijawahi lifanyia analysis. lina faid maana gloss a4 zinakaa 20, ukizigawa zinakuwa 40. picha moja buku. unatoa picha 40. gharama za kununulia ni 7500/- Pia za 4*6 zipo original za epson, huhitaji kukata.

Sexer
atuambie kama original 5*7 zipo.
 
hilo wazo nimekuwa nalo ila sijawahi lifanyia analysis. lina faid maana gloss a4 zinakaa 20, ukizigawa zinakuwa 40. picha moja buku. unatoa picha 40. gharama za kununulia ni 7500/- Pia za 4*6 zipo original za epson, huhitaji kukata. Sexer atuambie kama original 5*7 zipo

Mheshimiwa inategemea unanunua kutoka wapi. zipo A4 GLOSSY photo paper ambazo zinakaa 100 kwa shilingi 20,000/- ni quality kabisa zinafanya kazi na epson vizuri. pia kuna zingine glossy water proof ambazo kwa hapa arusha ni sh. 10,000/-kwa pieces 20.

Pia kuna brands tofauti kwa bei tofauti.

Hizi za 4*6 hapa arusha nanunua pieces 100 kwa sh. 6,000/-.
 
kama una Epson na ushafanya installations... tafuta setup ya Epson R290 instal pia.

design ID zako kisha ziweke kwa template iliopimwa for R290 (ninayo ya illustrator).

insert ile plate ya kuprint ID kwenye printer (inauzwa 70).

fungua template ya illustrator weka IDs kisha command print. nenda Printer Prefference au set up, chagua Best Photo, CD/DVD then a4 afu print

Mimi ninatumia p50 na kazi zangu kubwa ni IDs za PVC na Kuprint CDs

nitajaribu kukuelezea vizuri nikiwa kwenye PC
 
Puppy

Hizi id za pvc zikoje. na cd unaprint kwa bei gani.
 
Last edited by a moderator:
hilo wazo nimekuwa nalo ila sijawahi lifanyia analysis. lina faid maana gloss a4 zinakaa 20, ukizigawa zinakuwa 40.

Picha moja buku. unatoa picha 40. gharama za kununulia ni 7500/- Pia za 4*6 zipo original za epson, huhitaji kukata. Sexer atuambie kama original 5*7 zipo

Hapa mwanza 5*7 zipo kibao sijawahi kuzikosa kwakweli.
 
Back
Top Bottom