JINSI YA KUTENGENEZA BOOTABLE USB PENDRIVE (FLASH) KWA KUTUMIA COMMAND

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
24,504
28,693
JINSI YA KUTENGENEZA BOOTABLE USB PENDRIVE (FLASH) KWA KUTUMIA COMMAND

Technology inakuwa kwa kasi sana siku hadi siku. tumezoea kutumia CD kwa ajili ya kuinstall window kwenye computer zetu ila ubaya uliopo kuwa CD zinahitaji uangalifu mzr ili iweze kudumu kwa muda mrefu tumejikuta tukiingiza window mpk katikati inakwama kutokana na CD kupata mchubuko mdogo tu.

sasa fanya pendrive yako (flash) kuweza kuingiza (install) window ndani ya computer yako.
watu wamekuwa wakihangaika kutafuta software za kufanya FLASH kuweza kuboot kwenye computer kwa ajili ya kuingiza window mpya

leo nakupa njia hii ya command ambayo ni rahisi sana, utaweza kuweka window kwenye flash na kuitumia muda wwte ule unapo hitaji huna haja kuwa kila siku unahangaika kutafuta CD mpya ya window.
hii command inafanya kazi kwa window vista 7/8/8.1/10 tu. ila kama unahitaji kwa ajili ya window XP inabidi utafute software zitakazo kuwezesha kufanya hvyo.

fuata njia zifuatazo kwa umakini sana
♧ weka pendrive (flash) yko kwenye computer

♧ fungua command prompt as administrator
tafuta CMD kwenye sehem ya start bar itakuja hapo juu kisha right click than utabonyeza as administrator

♧ baada ya kufunguka utaandika DISKPART
hapa command hyo itakupeleka kwenye Disk Management Utility

♧ baada ya hapo andika LIST DISK
Hii itakuonesha disk zote zilizomo kwenye computer yako zikiwa na nambar disk 0, 1,2...

♧ baada ya hapo angalia vzr nambar ya flash yako mara nyingi inakuwa nambar ya mwisho ila kuwa na uhakika

♧ baada ya kujua namba yko ya flash andika hv SELECT DISK 2
hapo nambar mbili nimetumia mfano badilisha kwa nambari itakayo kuletea hapo kwenye computer yako

♧ sasa ni kuiandaa flash yako kwa ajili ya kuifanya kuwa Bootable flash

♧ baada ya hapo andika CLEAN
utapokea ujumbe chini yake kuwa successful

♧ kisha andika CREATE PARTITION PRIMARY
utapokea ujumbe chini yake kuwa successful

♧ andika SELECT PARTITION 1
utapokea ujumbe partition 1 is now the selected

♧ kisha andika FORMAT FS=NTFS QUICK
utapokea 100% percent complete

♧kisha andika ASSIGN
utapokea successful

♧ mwisho utaandika EXIT

sasa tayari tumeshaifanya flash yetu kuwa Bootable flash kilichobaki ni kucopy file za window kutoka kwenye CD na kuweka kwenye pendrive (flash). hapa kuna njia 3 ila nitatumia moja rahisi ili kupuza urefu wa mada hii

♧ ingiza CD yako ya window
♧ fungua hyo CD hakikisha umefungua
folder la kwanza la window 7 setup file
hapa file na folder zote utaziona nadhani zipo 7
♧ copy hzo file 7 kisha past kwenye flash yako

baada ya hapo unaweza kujaribu kwa kurestart computer yako badilisha setting yko ya BIOS ili iweze kuboot kwenye flash

ikiwa haito boot basi itakuwa umekosea step
 
Tuelekeze vzur inakuwaj sasa hyo power iso
Power iso ina option ya kutengeneza bootable flash.
Mimi niliacha kutumia cd za windows toka 2010, yani mimi siyo mtunzaji mzuri wa cd hivyo uwa napenda nkae na data kweny laptop iwe progs au windows nikitaka natengeneza bootable flash tu
 
haina umuhimu kutengeneza bootable kwani unaweza tu ku extract iyo iso ya OS na kuirushia kwenye flash bas
na devile hiyo ikawa bootable
 
Hii lugha hii ya gadgates hadi nahisi Njaaaa.

Najilaumu kuufungua huu Uzi.

Wana ICT wote Mungu anawaona.
 
Msaaada chap wakuu...

Kutengeneza window 10 bootable dvd
Kwa kutumia power iso.

Sijui ndio mnaita window image.

Mi sio mtu wa it ila ninachomaaisha nahitaji kupiga window kwenye pc kwa kutumia cd...

Setup ya window ninayo. Na power iso program ninayo pia.

Msaaada wadau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JINSI YA KUTENGENEZA BOOTABLE USB PENDRIVE (FLASH) KWA KUTUMIA COMMAND

Technology inakuwa kwa kasi sana siku hadi siku. tumezoea kutumia CD kwa ajili ya kuinstall window kwenye computer zetu ila ubaya uliopo kuwa CD zinahitaji uangalifu mzr ili iweze kudumu kwa muda mrefu tumejikuta tukiingiza window mpk katikati inakwama kutokana na CD kupata mchubuko mdogo tu.

sasa fanya pendrive yako (flash) kuweza kuingiza (install) window ndani ya computer yako.
watu wamekuwa wakihangaika kutafuta software za kufanya FLASH kuweza kuboot kwenye computer kwa ajili ya kuingiza window mpya

leo nakupa njia hii ya command ambayo ni rahisi sana, utaweza kuweka window kwenye flash na kuitumia muda wwte ule unapo hitaji huna haja kuwa kila siku unahangaika kutafuta CD mpya ya window.
hii command inafanya kazi kwa window vista 7/8/8.1/10 tu. ila kama unahitaji kwa ajili ya window XP inabidi utafute software zitakazo kuwezesha kufanya hvyo.

fuata njia zifuatazo kwa umakini sana
♧ weka pendrive (flash) yko kwenye computer

♧ fungua command prompt as administrator
tafuta CMD kwenye sehem ya start bar itakuja hapo juu kisha right click than utabonyeza as administrator

♧ baada ya kufunguka utaandika DISKPART
hapa command hyo itakupeleka kwenye Disk Management Utility

♧ baada ya hapo andika LIST DISK
Hii itakuonesha disk zote zilizomo kwenye computer yako zikiwa na nambar disk 0, 1,2...

♧ baada ya hapo angalia vzr nambar ya flash yako mara nyingi inakuwa nambar ya mwisho ila kuwa na uhakika

♧ baada ya kujua namba yko ya flash andika hv SELECT DISK 2
hapo nambar mbili nimetumia mfano badilisha kwa nambari itakayo kuletea hapo kwenye computer yako

♧ sasa ni kuiandaa flash yako kwa ajili ya kuifanya kuwa Bootable flash

♧ baada ya hapo andika CLEAN
utapokea ujumbe chini yake kuwa successful

♧ kisha andika CREATE PARTITION PRIMARY
utapokea ujumbe chini yake kuwa successful

♧ andika SELECT PARTITION 1
utapokea ujumbe partition 1 is now the selected

♧ kisha andika FORMAT FS=NTFS QUICK
utapokea 100% percent complete

♧kisha andika ASSIGN
utapokea successful

♧ mwisho utaandika EXIT

sasa tayari tumeshaifanya flash yetu kuwa Bootable flash kilichobaki ni kucopy file za window kutoka kwenye CD na kuweka kwenye pendrive (flash). hapa kuna njia 3 ila nitatumia moja rahisi ili kupuza urefu wa mada hii

♧ ingiza CD yako ya window
♧ fungua hyo CD hakikisha umefungua
folder la kwanza la window 7 setup file
hapa file na folder zote utaziona nadhani zipo 7
♧ copy hzo file 7 kisha past kwenye flash yako

baada ya hapo unaweza kujaribu kwa kurestart computer yako badilisha setting yko ya BIOS ili iweze kuboot kwenye flash

ikiwa haito boot basi itakuwa umekosea step
Msaada juu hapo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom