mmmh! yani kuna vituko, achilia mbali mwanamke anakwenda hospitali kuomba appointment ya kufanyiwa operation atolewa mtoto eti hataki kusukuma, na wakati huo keshafanya ultra sound anajua atapata mtoto wa jinsi gani basi kwa nyondo utamsikia anasema "JUMATANO NITAPATA BABY GIRL"Siku hizi wanakamua maziwa yanawekwa kwenye friji hadi wiki mbili mtoto anakunywa hayobhayo yakiisha ndo anakamua mengine kisa ubusy.
Mtoto anakula viporo tangu akiwa mchanga akifikisha mwaka na nusu keshaanza shule, aaah mzungu atuhurumie tu jaman bora apige marufuku kuigwa igwa.