Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu ghushi(AndroidOS)

Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu ghushi(AndroidOS)

Hizi Simu za Alcatel vipi utendaji wake wa kazi kwa wale walokwisha kuzitumia. Na original yake ni nchi gani?

alcatel ni kampuni ya ufaransa walishaacha kutengeneza simu. ila kuna kampuni ya kichina wamenunua hilo jina. so tunaweza kusema ni kampuni ya kichina. ila mpaka kununua jina ina màana wapo serious na hata soko lao ulaya lipo vizuri hadi kwenye nchi kama urusi. naweza kusema quality ipo level moja na makampuni kama huawei, zte na lenovo ila bado hawajafika level ya samsung, lg, htc na sony
 
alcatel ni kampuni ya ufaransa walishaacha kutengeneza simu. ila kuna kampuni ya kichina wamenunua hilo jina. so tunaweza kusema ni kampuni ya kichina. ila mpaka kununua jina ina màana wapo serious na hata soko lao ulaya lipo vizuri hadi kwenye nchi kama urusi. naweza kusema quality ipo level moja na makampuni kama huawei, zte na lenovo ila bado hawajafika level ya samsung, lg, htc na sony

Ahsante chief, vp kuhusu pantech pocket, hiyo ya kwanza ya kudial imekubali, hii ya pili naona inazingua
 
alcatel ni kampuni ya ufaransa walishaacha kutengeneza simu. ila kuna kampuni ya kichina wamenunua hilo jina. so tunaweza kusema ni kampuni ya kichina. ila mpaka kununua jina ina màana wapo serious na hata soko lao ulaya lipo vizuri hadi kwenye nchi kama urusi. naweza kusema quality ipo level moja na makampuni kama huawei, zte na lenovo ila bado hawajafika level ya samsung, lg, htc na sony

Thanks, kuna moja nimeiona model yake ni 5020 ina processor 1ghz, na ram 512, camera 5 mp. Kibongo bongo bei yake siyo mbaya ni 200,000.
 
Chief naomba basi msaada nilio kuomba natumia lumia 280 nataka ku update nashndwa naomba msaada kaka hata Internet haikubali
 
Chief naomba basi msaada nilio kuomba natumia lumia 280 nataka ku update nashndwa naomba msaada kaka hata Internet haikubali

Nadhani una maanisha Lumia 820. Tatizo ni lipi Topetope?
 
Last edited by a moderator:
Chief naomba basi msaada nilio kuomba natumia lumia 280 nataka ku update nashndwa naomba msaada kaka hata Internet haikubali

Nadhani una maanisha Lumia 820. Tatizo ni lipi Topetope?
 
Last edited by a moderator:
Nimejaribu kutumia zune ila haiitambui simu natumia pc yenye windows 7
 
hiyo njia aliyoelezea chief hapo juu is the most genuine and easiest way ya kujua kama umenunua original au fake, hizo codes huwa sometimes hazifanyi kazi, mfano mimi nilipokuwa natumia ice cream sandwich 4.0.4, hiyo code ya *#*#4636#*#* ilikuwa inafanya kazi na kuniletea hiyo diagnostic tool, the moment i upgraded to jelly bean 4.1.2, hiyo code ikaacha kufanya kazi...but CPU Z huwa haidanganyi, kama umenunua mfano galaxy s4 ukakuta CPU ni MediaTek instead of exynos, just know kwamba umenunua clone.

Mimi sio mtumiaji sana wa hizi smartphone lakini ningependa kujua nini maana ya halisi ya simu ambayo ni clone
 
Mimi sio mtumiaji sana wa hizi smartphone lakini ningependa kujua nini maana ya halisi ya simu ambayo ni clone

clone inamaanisha exactly copy of another.

kwenye mambo ya teknolojia clone inamaanisha kampuni moja kucopy kampuni mwenzake na kutengeneza bidhaa kama yake vile vile ila kwa bei rahisi.

mfano kampuni AAAA inamkopy samsung na kutengeneza simu kama galaxy s5 vile vile ila kwa bei rahisi.

mfano wa kampuni maarufu ya kutengeneza clone ni NO1
no1-s7-%285%29-600x400.jpg
 
Back
Top Bottom