Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu ghushi(AndroidOS)

Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu ghushi(AndroidOS)

Mkuu samahani kwa kuuliza swali la nje ya mada. Hivi Ukitumia betri ya simu ambayo uwezo wake ( i mean mAh) sio kama inavyooneshwa kwenye phone specification kuna madhara? Mfano kama phone specification inaonesha betri ya simu ni 2500mAh lakini nikatumia betri yenye 3100mAh, kuna effect yoyote kwenye uhai wa simu? Thanx

kaka hamna effect sababu huo ni ujazo tu ni kama unavyosema lita. unaweza nunua maji lita 1 ukanywa siku 1 au ukanunua lita saba ukanywa wiki nzima haina madhara.

madhara yanakuja kwenye kiasi kinachotoka/kuingia kwenye battery au simu. kikawaida battery ya simu inatoa voltage 3.7 au inaweza zidi kidogo kwenda kwenye simu. sasa ukitumia battery inayotoa umeme mwingi inaweza dhuru simu
 
wickerman
sasa ina maana hizi Huawei Ascend Y300 ni fake au VP?nmeijaribu code yako kwa simu za aina hyo tatu no response!
 
Last edited by a moderator:
kaka hamna effect sababu huo ni ujazo tu ni kama unavyosema lita. unaweza nunua maji lita 1 ukanywa siku 1 au ukanunua lita saba ukanywa wiki nzima haina madhara.

madhara yanakuja kwenye kiasi kinachotoka/kuingia kwenye battery au simu. kikawaida battery ya simu inatoa voltage 3.7 au inaweza zidi kidogo kwenda kwenye simu. sasa ukitumia battery inayotoa umeme mwingi inaweza dhuru simu
Thanx kaka, nimekusoma!
 
tatizo natumia opera min ningekupa like chief-mkwawa jamaa unajua.
 
Last edited by a moderator:
Kaka Hiyo Namba Ukishaingiza Una Dial Au Yenyewe 2 Inasense?

Nimejaribu, kabla sijapiga, nilivyomaliza ile star ya mwisho kitu kikajibu. Hivyo hupigi, automatically inakubali kaka
 
Wadau Huawei Y300 Mbona Haileti Chochote Baada Ya Kuingiza Hizo Code,? Inamaanisha Nini?
 
hiyo njia aliyoelezea chief hapo juu is the most genuine and easiest way ya kujua kama umenunua original au fake, hizo codes huwa sometimes hazifanyi kazi, mfano mimi nilipokuwa natumia ice cream sandwich 4.0.4, hiyo code ya *#*#4636#*#* ilikuwa inafanya kazi na kuniletea hiyo diagnostic tool, the moment i upgraded to jelly bean 4.1.2, hiyo code ikaacha kufanya kazi...but CPU Z huwa haidanganyi, kama umenunua mfano galaxy s4 ukakuta CPU ni MediaTek instead of exynos, just know kwamba umenunua clone.
 
Hii thread ni murua sana, maana usipo jua unajikuta umeingizwa mjini kwenye gunia Mkwawa big up
 
chief-mkwawa nisaidie kama hii Galaxy win ni simu yenyewe au ndo hivo majanga maana nimeipenda hii simu iko na mshikaji wangu na mm nilitaka kununua anadai kauziwa 480,000/- pale posta je ni bei sahihi au kauziwa Mchina tena bei ya juu?

If so recommend for me the Best site ambako ntaweza kupata Rooting technique yake maana mm simu ambayo siwezi kui-ROOT siwezi kuinunua

r4co.png


hmou.png


uau2.png
 
wickerman
sasa ina maana hizi Huawei Ascend Y300 ni fake au VP?nmeijaribu code yako kwa simu za aina hyo tatu no response!
Not really, kuna njia nyingi za kuchek, kama hyo imekataa, jaribu ya Mkubwa chief-mkwawa, hyo nayo ikikataa, basi inaweza kuwa ni fake.
 
Last edited by a moderator:
chief-mkwawa nisaidie kama hii Galaxy win ni simu yenyewe au ndo hivo majanga maana nimeipenda hii simu iko na mshikaji wangu na mm nilitaka kununua anadai kauziwa 480,000/- pale posta je ni bei sahihi au kauziwa Mchina tena bei ya juu?

If so recommend for me the Best site ambako ntaweza kupata Rooting technique yake maana mm simu ambayo siwezi kui-ROOT siwezi kuinunua

r4co.png


hmou.png


uau2.png
simu ipo fresh na data zipo sahihi ni original, bei nafkiri inaweza patikana hadi 400.

kuhusu kuroot sijawah ona samsung ambayo huwezi kuroot hivyo usiwe na was was
 
Hizi Simu za Alcatel vipi utendaji wake wa kazi kwa wale walokwisha kuzitumia. Na original yake ni nchi gani?
 

Attachments

  • 1389416933005.jpg
    1389416933005.jpg
    34.8 KB · Views: 334
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom