Jinsi ya kutafuta kazi jamani

Jinsi ya kutafuta kazi jamani

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
623
Ni namna gani ya kupata kazi wakuu? hasa kwa sasa ambao hatuna wakutushika mikono kwenye field zetu.
Simjui mtu yeyote kwenye makampuni na sina ndugu huko,mimi ni mtu wa singida,manyoni nimemaliza telecom eng. mwaka huu ,ngazi ya degree GPA 3.4,tokea nimemaliza mwezi july nilikua home singida nimerudi mjini kutafuta kazi yoyote itakayonfanya niishi mjini maana hali tete,sielewi nianzie wapi? Wenye ujuzi wa haya mambo tuambiane
Thanks
 
kama umesoma, una vyeti na uwezo kichwani kwanini unataka kubebwa!!!
au hata hiyo degree pia umeipata kwa kubebwa??
kwanini vijana wa siku hizi hamjiamini?
nyie ndo mnafanya nchi hii tatizo la rushwa liwe sugu

Andaa CV yako, ukiona tangazo la kazi linaendana na unachokijua unaedit CV yako then unaapply.
Utaitwa interview na utapata kazi kama kweli una package wanayoitaka hao waajiri.
otherwise, unatakiwa ubadili mawazo tegemezi uliyonayo.
 
pole kijana , teleocom eng..fanya uonane na makampuni ya simu au secta ya mawasiliano au hata NgOS ILI UWAGAWIE UTAALAM WAKO ...pia still kazana kumuiomba mola mno kwani hizi kazi ni bahati mno...au

kama una mtaji unaeza ukaanza kufanya busness yeyote ile maana hata hizi kazi nazo hazija tulia.walioko job wna ma stress kibao...

🙂🙂🙂
 
Ni namna gani ya kupata kazi wakuu? hasa kwa sasa ambao hatuna wakutushika mikono kwenye field zetu.
Simjui mtu yeyote kwenye makampuni na sina ndugu huko,mimi ni mtu wa singida,manyoni nimemaliza telecom eng. mwaka huu ,ngazi ya degree GPA 3.4,tokea nimemaliza mwezi july nilikua home singida nimerudi mjini kutafuta kazi yoyote itakayonfanya niishi mjini maana hali tete,sielewi nianzie wapi? Wenye ujuzi wa haya mambo tuambiane
Thanks

Mkuu ni tele ya UDSM au wapi?
 
..hmm, then I must know u Menison, anyways as ur ex-classmate, nakushauri usikate tamaa.It's hard kukwambia jinsi ya kutafuta kazi...kila mtu atakupa basics tu, cha msingi mtangulize Mungu, andaa CV na cover letter vizuri, wasiliana na classmates wengine wakupe michongo ya kazi. Kuna classmates wengine wanafanya kazi zao wenyewe..mostly coders, watafute atleast uwe unakitu cha kufanya sahvi while u r still waitin to get employed.
Kujiajiri mwenyewe inaweza kua ni ngumu kama capital hauna..na busines idea nzuri hauna.
Kama unaweza kujiendeleza kimasomo ni vizuri pia.
Yah, dnt lose hope..keep on fighting mtu wangu.
 
Ni namna gani ya kupata kazi wakuu? hasa kwa sasa ambao hatuna wakutushika mikono kwenye field zetu.
Simjui mtu yeyote kwenye makampuni na sina ndugu huko,mimi ni mtu wa singida,manyoni nimemaliza telecom eng. mwaka huu ,ngazi ya degree GPA 3.4,tokea nimemaliza mwezi july nilikua home singida nimerudi mjini kutafuta kazi yoyote itakayonfanya niishi mjini maana hali tete,sielewi nianzie wapi? Wenye ujuzi wa haya mambo tuambiane
Thanks

Mwez July ndo umemaliza chip,ushaanza kulialia..trust m.jiandae kuchoma mahind Kwanzaa..1 year will b da shortest period
 
Mwez July ndo umemaliza chip,ushaanza kulialia..trust m.jiandae kuchoma mahind Kwanzaa..1 year will b da shortest period
hahahahahahahahahha
ntachoka sana, anyway
 
..hmm, then I must know u Menison, anyways as ur ex-classmate, nakushauri usikate tamaa.It's hard kukwambia jinsi ya kutafuta kazi...kila mtu atakupa basics tu, cha msingi mtangulize Mungu, andaa CV na cover letter vizuri, wasiliana na classmates wengine wakupe michongo ya kazi. Kuna classmates wengine wanafanya kazi zao wenyewe..mostly coders, watafute atleast uwe unakitu cha kufanya sahvi while u r still waitin to get employed.
Kujiajiri mwenyewe inaweza kua ni ngumu kama capital hauna..na busines idea nzuri hauna.
Kama unaweza kujiendeleza kimasomo ni vizuri pia.
Yah, dnt lose hope..keep on fighting mtu wangu.
Thanks sophy naho....ha ,hopen ushanijua mi nani
 
inabid uwe mpole kwanza mkuu mapema sana kulalamika, cha msing jarib kufanya kitu cha kukukeep busy na jarib kuvolunteer kwny organization na kampuni zinazorelate na field yako huku ukisoma raman nyingine
 
..ooh, hapo kwenye jina..ni fumbo kweli kweli, bt by tomorrow, ntakua nishakujua ni nani..lol, all th best.
 
Thanks sophy naho....ha ,hopen ushanijua mi nani

pole mkuu. ajira ndo zilivyo. mi tangu 2011 nafundisha na nimesoma b.com udsm na gpa 3.7 hons bt nkiapply kazi siitwi. one dy mola atasikia kilio chetu
 
pole mkuu. ajira ndo zilivyo. mi tangu 2011 nafundisha na nimesoma b.com udsm na gpa 3.7 hons bt nkiapply kazi siitwi. one dy mola atasikia kilio chetu

Ajira siku hizi kama huna God father ni ngumu kwa kweli hata ya kufagia ofisi tu ni ngumu.
 
Back
Top Bottom