mandevuclassic
Member
- Nov 23, 2013
- 79
- 118
Kwenye mchoro wameandika 2950 kwenye scale wamesema 1:75 ufafanuzi please
Km ni vivyo basi ni mita mbili na sentimeta 95Ok ni hivi, kwenye ardhi hapo TUMIA Milimita 2900 hizo ambazo kiuhalisia ni MITA 2 na CM 90.
Km ni vivyo basi ni mita mbili na sentimeta 95
Kitu kingine sijaelewa hiyo scale 1:75 inatumikaje hapo
1:75 humaanishi sentimita moja kwenye mchoro huwakilisha sentimita 75 kwenye ardhi. 1 cm on the map represents 75 cm on actual ground.Kwenye mchoro wameandika 2950 kwenye scale wamesema 1:75 ufafanuzi please
Kwenye Ramani ikiwa 1 kwenye ARDHI weka 75.Km ni vivyo basi ni mita mbili na sentimeta 95
Kitu kingine sijaelewa hiyo scale 1:75 inatumikaje hapo
Utatumia hii Kama scale ni 1:100 mtoa mada scale yake ni 1:75Ok ni hivi, kwenye ardhi hapo TUMIA Milimita 2900 hizo ambazo kiuhalisia ni MITA 2 na CM 90.