chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Jamani anayeelewa jinsi ya kuscreenshot kwakutumiaa galaxy J1 ace anisaidieeee maaana nimejaribu nimeshindwaaa yani Imekua tofauti na nilivyokuaaa nascreenshot kwenye Huawei
Hiki kichwa changu nadhani kina matatizo....yaani niliposoma hebu zama chenyewe kikamalizia chumvini badala ta huko!...Hebu zama huko
Hiki kichwa changu nadhani kina matatizo....yaani niliposoma hebu zama chenyewe kikamalizia chumvini badala ta huko!
Thnx mzigo umekubalihome button + power button. Bonyeza kwa pamoja. Yan bonyeza button ya mbele ya screen, na hyo moja ya pemben upande wa kulia wa simu, kwa pamoja.