Jinsi ya kupika vitumbua

Jinsi ya kupika vitumbua

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,786
Hello

Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa ngapi kama ni asubuhi nashauri loweka usiku


Baada ya hapo nika brendi kwenye brend nikiwa nimechanganya iriki lakini nilitumia maji ya mchai chai kubrend

Baada ya hapo nikaanza kuvipika
1766071860586.jpeg

Huu ndio mlo
Wa usiku na chai ya maziwa siku imeisha ivyo sio kila siku kununua pika tu mwenyewe
 
Hello

Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa ngapi kama ni asubuhi nashauri loweka usiku


Baada ya hapo nika brendi kwenye brend nikiwa nimechanganya iriki lakini nilitumia maji ya mchai chai kubrend

Baada ya hapo nikaanza kuvipika
View attachment 3517179
Huu ndio mlo
Wa usiku na chai ya maziwa siku imeisha ivyo sio kila siku kununua pika tu mwenyewe
Mimi mkate wa kumimina ndio unanikataa maana nikipika unatoka boko.
Natumia mchele wa V.I.P
 
Hello

Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa ngapi kama ni asubuhi nashauri loweka usiku


Baada ya hapo nika brendi kwenye brend nikiwa nimechanganya iriki lakini nilitumia maji ya mchai chai kubrend

Baada ya hapo nikaanza kuvipika
View attachment 3517179
Huu ndio mlo
Wa usiku na chai ya maziwa siku imeisha ivyo sio kila siku kununua pika tu mwenyewe
Uko vizuri mkuu
Umepikia kwenye gas au mkaa?

Vipi moto unatakiwa wa namna gani?
 
Hello

Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa ngapi kama ni asubuhi nashauri loweka usiku


Baada ya hapo nika brendi kwenye brend nikiwa nimechanganya iriki lakini nilitumia maji ya mchai chai kubrend

Baada ya hapo nikaanza kuvipika
View attachment 3517179
Huu ndio mlo
Wa usiku na chai ya maziwa siku imeisha ivyo sio kila siku kununua pika tu mwenyewe
Huku kwetu vitumbua tunakula na ugali na mabo yanakuwa sawa sqwia kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom