Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,103
Waaow hongera,umenitamanisha kweli
Jana nilikulakitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahiamsosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.
kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
