Aaliyyah ule mpango wa kufungua goli la msosi upo pale pale ? πππI hope mko poa
Wale wasiotumia nyama nyekundu na wapenz wa samaki pitien hapa
Sikunyingine tujifunze kupika pilau la samaki ππ
Mahitaji
Samaki
Mchele
Unga wa pilau/pilau masala
Binzari nyembamba
Giligilani ya majani
Mafuta ya kupikia
Vitunguu swaumu na vitunguu maji
Chumvi na viazi
Hatua ya kwanza
andaa viungo vyako ponda vitunguu swaumu,
OSHA mchele
Kata vitunguu maji na majani ya giligilani
Kaanga samaki kama ni wabichi hakikisha wanakauka vizuri au unaweza kuoka pia
Hatua ya pili
Bandika sufuria jikoni weka mafuta yakipata moto weka kitunguu maji kaanga Hadi kianze kuwa brown kisha weka kitunguu swaumu kaanga had nacho kibadilike weka majani ya giligilani kaanga pia weka unga wa pilau iriki na binzari nyembamba Kisha weka viazi
Hakikisha vitunguu haviungui
Hatua ya Tatu
Weka maji ya vuguvugu kwenye mchanganyiko wako Kisha acha yachemke(maji kadiria kadr mchele wako ulivo)
Weka chumvi acha yachemke
Yakichemka wekamchele funika acha uive
Hatua ya nne
Maji yakikauka kidogo utafunua utaweka samaki wako kwenye pilau lako Kisha utaweka hoho na karoti kama utapenda utafunika na kupunguza moto Ili uive
Hatua ya tano
Geuza pilau vizuri wakat wa kugeuza zingatia utaratibu Ili samaki wasivurugike funika Tena na acha chakula kiive Kwa moto mdogo
Baada ya dakika 10 au 15 chakula kitakuwa tayari Kwa kuliwa
NB mm nimetumia samaki wake vibua wagumu (wengine huitaje sijui kwakweli)wew unaweza tumia samaki yoyote utaependa ila itapendeza akiwa wa vipande wasiwe wadogo wadogo sana View attachment 3101429View attachment 3101430View attachment 3101431
Misezi Kuweza habari za masikuTatzo hao samaki kipenzi mm natumia sato tu hao wengne walixhanikataa
UtamukunogaBimkubwa wangu anakichafuaga na Jodari...mi nampenda Sansuri ila anapatikana Tanga tu. Kuna bi mdashi mmoja ye anakichafuaga cha Pilau la ngisi...na ukila, weeeee huchomoki.
Nzuri kijana za wwMisezi Kuweza habari za masiku
Za mimi salama kabisa Misezi Kuweza long time no seeNzuri kijana za ww
Npo mbonaZa mimi salama kabisa Misezi Kuweza long time no see
AsanteI hope mko poa
Wale wasiotumia nyama nyekundu na wapenz wa samaki pitien hapa
Sikunyingine tujifunze kupika pilau la samaki ππ
Mahitaji
Samaki
Mchele
Unga wa pilau/pilau masala
Binzari nyembamba
Giligilani ya majani
Mafuta ya kupikia
Vitunguu swaumu na vitunguu maji
Chumvi na viazi
Hatua ya kwanza
andaa viungo vyako ponda vitunguu swaumu,
OSHA mchele
Kata vitunguu maji na majani ya giligilani
Kaanga samaki kama ni wabichi hakikisha wanakauka vizuri au unaweza kuoka pia
Hatua ya pili
Bandika sufuria jikoni weka mafuta yakipata moto weka kitunguu maji kaanga Hadi kianze kuwa brown kisha weka kitunguu swaumu kaanga had nacho kibadilike weka majani ya giligilani kaanga pia weka unga wa pilau iriki na binzari nyembamba Kisha weka viazi
Hakikisha vitunguu haviungui
Hatua ya Tatu
Weka maji ya vuguvugu kwenye mchanganyiko wako Kisha acha yachemke(maji kadiria kadr mchele wako ulivo)
Weka chumvi acha yachemke
Yakichemka wekamchele funika acha uive
Hatua ya nne
Maji yakikauka kidogo utafunua utaweka samaki wako kwenye pilau lako Kisha utaweka hoho na karoti kama utapenda utafunika na kupunguza moto Ili uive
Hatua ya tano
Geuza pilau vizuri wakat wa kugeuza zingatia utaratibu Ili samaki wasivurugike funika Tena na acha chakula kiive Kwa moto mdogo
Baada ya dakika 10 au 15 chakula kitakuwa tayari Kwa kuliwa
NB mm nimetumia samaki wake vibua wagumu (wengine huitaje sijui kwakweli)wew unaweza tumia samaki yoyote utaependa ila itapendeza akiwa wa vipande wasiwe wadogo wadogo sana View attachment 3101429View attachment 3101430View attachment 3101431