Mkuu ntakusaidia ninachokijua.
Leseni za utafiti madiini zinapatikana wizarani dar es salaam.
Leseni za uchimbaji zinapatikana ofisi za madini za kanda.
UNACHOTAKIWA KUFANYA.
kama tayari una uhakika kwamba eneo unalotaka kuchimba lina madini, na sasa moja kwa moja unataka lesseni ya uchimbaji, nenda ofisi ya madini ya kanda (kwa bahati mbaya sijui ofisi ya kanda ya kusini iko wapi).Kabla ya kwenda, hakiisha kwamba eneo unalotaka kuchimba tayari ni lako, yaani kama ni shamba la mtu, wasiliana na mwenye shamba kwanza na serikali za mitaa uhakikishe unamilikishwa eneo hilo kihalali.Baada ya hapo, uwe na angalau miliioni moja kwa ajili ya gharama za leseni. ukiwa na m1.5, ni bora zaidi.
NI HAYO TU MKUU NAKUTAKIA MAFANIKIO, UKIPATATA MADINI UNIKUMBUKE.
mimi nashughulika zaidi na utafiti wa vito na dhahabu.Pia nauza gold metal detectors.Hivi huko kusini hakuna sehemu yenye madini ya vito?