Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,902
- 687
Wakuu jamvini naombeni msaada wenu.
Nataka kupata Mining Licence (wenyewe wanaiita PML) ya kitalu cha Copper huko Ruangwa, Lindi.
Naomba mwenye kujua utaratibu anisaidie njue pa kuanzia na kumalizia na kama kuna kitu natakiwa kuandaa ili kufanikiwa. Mimi ni Mtanzania.
Nawashukuru in advance
Nataka kupata Mining Licence (wenyewe wanaiita PML) ya kitalu cha Copper huko Ruangwa, Lindi.
Naomba mwenye kujua utaratibu anisaidie njue pa kuanzia na kumalizia na kama kuna kitu natakiwa kuandaa ili kufanikiwa. Mimi ni Mtanzania.
Nawashukuru in advance