peter kasanga
Member
- Jun 1, 2017
- 49
- 9
Msaada online survey ni kitu gani na unafanya vipi kupata pesa ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
nakuona matapeli was sky mpo juu mawinguniSurvey Achana nazo hebu chukua hii https://payview.info INALIPA BALAA
Ili upate dillz apa unahtaj nini nann
Hizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki naneMsaada online survey ni kitu gani na unafanya vipi kupata pesa ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki nane
View attachment 1434878
Survey hazina deal
mkuu naomba unielekeze hii kitu PMHizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki nane
View attachment 1434878
Survey hazina deal
Hizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki nane
View attachment 1434878
Survey hazina deal
Kwema harakati vipi
Inabid ubid kazi unazoona unazimudu na utazifanya mimi napenda sana ongoing projects yani ukibid mara moja ukaipata ni inaendelea mika na miakaUpwork dah kupta kazi ngumu bro sijui kwa sababu mimi ni begginer
Wananipita tu na proposal napangilia fresh
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie wataka kujua nini mkuu nitakueleza kwa kadri ya uwezo wangumkuu naomba unielekeze hii kitu PM
Na mm mkuu naomba darasaNiambie wataka kujua nini mkuu nitakueleza kwa kadri ya uwezo wangu
Mkuu achana nayo iyo issue most of the sites ni scam not pay you.Msaada online survey ni kitu gani na unafanya vipi kupata pesa ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa sie watu ambao ni darasa la 7b ni kitu gani tukijifunza tunaweza kuanza kufanya kaz kama freelancer ndani ya muda mfupi au huko kunahusu wenye elimu na ujuzi wa mavyuoni?. msaada mkuuInabid ubid kazi unazoona unazimudu na utazifanya mimi napenda sana ongoing projects yani ukibid mara moja ukaipata ni inaendelea mika na miaka
Any talent, graphic designing, voice-over, data collection, marketing yani skill yoyote ambayo unaweza kuifanya remotely mkuuMkuu kwa sie watu ambao ni darasa la 7b ni kitu gani tukijifunza tunaweza kuanza kufanya kaz kama freelancer ndani ya muda mfupi au huko kunahusu wenye elimu na ujuzi wa mavyuoni?. msaada mkuu
Sawa na hiyo voice-over inahusu nin?Any talent, graphic designing, voice-over, data collection, marketing yani skill yoyote ambayo unaweza kuifanya remotely mkuu