kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
wadau naomba tena msaada wenu, naomba mnijulishe kama kuna njia nyingine ya kupata password ya mtumiaji wa iphone ili aweze kudownload programmes na vitu vingine.Nimejitahidi kuregister ili kupata passsword lakini tatizo ni kwamba kuna page ya kujaza details ya viza, je kuna njia nyingine mbadala ya kupata password au kudownload bila kutumia password?