Jinsi ya kuopoa msichana mzuri

Jinsi ya kuopoa msichana mzuri

Asee wakuu mi mpaka Leo hii 19 sijawahi tongoza , coz ya huu upole plus woga wangu ,msaada please ,,
 
Nimechoka kuwa mtazamaji ngoja na mimi leo niwakilishe. Nazungumzia namna ya kumpata demu mzuri wa umbo + sura si mnajua MATOZ hawapendi vinyago.


4/ACHA MAIGIZO


Mwanzo nilidhani huu uzi ni kwa wote ila nimegundua inawahusu matoz....halaf mi ninavyojua TOZI & MUIGIZAJI ni mtu yuleyule...toz ni mtu wa kufake life.....
 
Asee wakuu mi mpaka Leo hii 19 sijawahi tongoza , coz ya huu upole plus woga wangu ,msaada please ,,
Nenda baharini ukaoge uondoe vundu liiywalo domo zege
 
Nimechoka kuwa mtazamaji ngoja na mimi leo niwakilishe. Nazungumzia namna ya kumpata demu mzuri wa umbo + sura si mnajua MATOZ hawapendi vinyago.


4/ACHA MAIGIZO


Mwanzo nilidhani huu uzi ni kwa wote ila nimegundua inawahusu matoz....halaf mi ninavyojua TOZI & MUIGIZAJI ni mtu yuleyule...toz ni mtu wa kufake life.....
Toz ni mtanashati sizungumzii wavaa milegezo anyway wapo matoz wa kila aina wakiwemo Mario,matapeli n.k

Sio issue
 
Asee ebu nisaidie kuna manzi mmoja ni mkaree kinouma naogopa kumvaa coz jicho langu moja ni kengeza atanicheka
 
Asee ebu nisaidie kuna manzi mmoja ni mkaree kinouma naogopa kumvaa coz jicho langu moja ni kengeza atanicheka
Kwa jicho hilo bora utongoze ng'ombe
 
Na ww unataka nikureply jibu unalowaza ww?
wewe bora ungebaki tu mtazamaji. hizo mbinu zako ni za kitoto sana. wanawake siku hizi ni pesa tu jombaa. awe mzuri asiwe mzuri, ubitoz pelekeni uswahili kwenu
 
wewe bora ungebaki tu mtazamaji. hizo mbinu zako ni za kitoto sana. wanawake siku hizi ni pesa tu jombaa. awe mzuri asiwe mzuri, ubitoz pelekeni uswahili kwenu
Unaonekana unalazimisha kick .....
Ww unayejua zaidi yangu umewahi kuandika nini?
Ina maana umeishikia bango hii ndo thread mbovu kuliko zote MMU?
Nimeandika ninachojua km unajua zaidi hebu jazia nyama tuone na sio blahblah
Au umetumwa
 
1469890189469.jpg
 
Back
Top Bottom