Jinsi ya kuongeza followers instagram

Jinsi ya kuongeza followers instagram

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
643
Reaction score
846
Habari za jioni.
Tanzania inaongoza barani Afrika kuwa na watumiaji wengi wa Mtandao wa Instagram. Wapo wanaotumia mtandao huu kwaajili ya biashara na wapo wanaotumia kinyume na jinsi inavyotakiwa. Kutokana na Umaarufu wa Insta kuongezeka kwa kasi sana,watu wamekuwa wakitumia mbinu mbali mbali ili kujiongezea followers. Wapo ambao wanaweka hadi picha za ngono ilibkuwavutia watu zaidi. wengine huwa wanafocus kwenye Umbea na Udaku ili kujipatia umaarufu na kuongeza followers. Ili kuepuka yote hayo nimekuandalia video elekezi itayokuonesha jinsi ya kupata followers zaidi ya 100 ndani ya dk5(kama ukifata hatua vizuri)
Angalia video hii na kama una swali lolote karibu nitakupa majibu in sha Allah.
 
Habari za jioni.
Tanzania inaongoza barani Afrika kuwa na watumiaji wengi wa Mtandao wa Instagram. Wapo wanaotumia mtandao huu kwaajili ya biashara na wapo wanaotumia kinyume na jinsi inavyotakiwa. Kutokana na Umaarufu wa Insta kuongezeka kwa kasi sana,watu wamekuwa wakitumia mbinu mbali mbali ili kujiongezea followers. Wapo ambao wanaweka hadi picha za ngono ilibkuwavutia watu zaidi. wengine huwa wanafocus kwenye Umbea na Udaku ili kujipatia umaarufu na kuongeza followers. Ili kuepuka yote hayo nimekuandalia video elekezi itayokuonesha jinsi ya kupata followers zaidi ya 100 ndani ya dk5(kama ukifata hatua vizuri)
Angalia video hii na kama una swali lolote karibu nitakupa majibu in sha Allah.

Naiomba wasap 0714592223
 
It means hzo dk. 5 zikiisha ukianza tena KWA dk.5 nyngne utapata tena 100 followers?!, yan followers 200 KWA dk. 10
Yes. ila unatakiwa kufanya haraka sana . yani kama utaweza kufanya hiyo system mara 200 ndani ya dk 10 basi utapata hata zaidi ya 200.
 
Back
Top Bottom