Jinsi ya kuondoa ujumbe unaoonesha aina ya simu

Jinsi ya kuondoa ujumbe unaoonesha aina ya simu

Uliona wapi wanaotumia Iphone wanaomba kutoa yaani isionekane? nakupa buku ukinionesha😀
wa iphone ndio watu pekee wanaoongoza kupiga picha kwenye vyoo vya malls na hoteli mbele ya kioo ili simu ionekeane.

Sasa mtu ambae yupo tayari kuonyesha anapokatia gogo hawezi kabisa kuficha nembo ya simu anayotumia JF😀
 
Uliona wapi wanaotumia Iphone wanaomba kutoa yaani isionekane? nakupa buku ukinionesha[emoji3]
Ndio maana hata mimi huioni ya kwangu, but kuna umuhimu gani wa kuonesha mtu anatumia simu gani, au ndio kuonesha sisi maskini tujulikane mapema, nikikutupia mistari ukaona simu ninayotumia pop2f unajua hapa nitapigwa na kitu kizito unakimbia[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Ndio maana hata mimi huioni ya kwangu, but kuna umuhimu gani wa kuonesha mtu anatumia simu gani, au ndio kuonesha sisi maskini tujulikane mapema, nikikutupia mistari ukaona simu ninayotumia pop2f unajua hapa nitapigwa na kitu kizito unakimbia[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hii inasaidia sana kuna nyuzi ukiona tu ni tecno F1 unajua hakuna content hapo.
 
Habari,

Naomba kama kuna mtu anajua kuondoa ile caption ya simu anayotumia mtu pindi anapo comment au kuandika chochote inayojitokeza pale chini.
Tumia BROWSER huoni Mimi hakuna captions
Type-of-Condoms-their-usage-768x569.jpg
 
wa iphone ndio watu pekee wanaoongoza kupiga picha kwenye vyoo vya malls na hoteli mbele ya kioo ili simu ionekeane.

Sasa mtu ambae yupo tayari kuonyesha anapokatia gogo hawezi kabisa kuficha nembo ya simu anayotumia JF[emoji3]
Kweli kabisa [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Mimi zamani nilijua hii kuonesha simu mtu anayotumia ni setting maalum watu wameweka wenyewe, binafsi mimi nilikuwa nataka sana nijue jinsi ya kuweka lakini nilikuwa sijui, nilikuwa naona gere kuona watu simu wanazotumia zinajulikana lakini si kufanya juhudi kufatilia, ila hivi sasa kuna watu wengine hawapendi kuoneshwa privacy zao
 
Hiyo nafikiri ni mpaka inahitaji kurekebishwa na moderator(IT) wa jF sidhani kama kuna option ya wewe kuitoa
Acha uongo inawezekana vizuri tu, unaweza kui disable wewe mwenyewe kwenye settings kwa wanaotumia JF App.
 
Hii inasaidia sana kuna nyuzi ukiona tu ni tecno F1 unajua hakuna content hapo.
Ha Haa haaa dah watu wakorofi humu munawajaji watu mawazo yao kwa simu anayotumia kweli? Munafeli sana wana, mimi kuna mtu namjua anamiliki dispensery, pharmacy na biashara nyengine kibao lakini anatumia techno w3 hauwezi amini, sasa huyu utasema hana contents kweli? Sio kila mtu amekuwa addicted na simu za gharama,.
 
Ha Haa haaa dah watu wakorofi humu munawajaji watu mawazo yao kwa simu anayotumia kweli? Munafeli sana wana, mimi kuna mtu namjua anamiliki dispensery, pharmacy na biashara nyengine kibao lakini anatumia techno w3 hauwezi amini, sasa huyu utasema hana contents kweli? Sio kila mtu amekuwa addicted na simu za gharama,.
Hapana mkuu sio kwa ubaya unakuta sent from tecno F1 then maneno kama "wamehamuka" "ludia" "laha" hii hapana mkuu.
 
Hapana mkuu sio kwa ubaya unakuta sent from tecno F1 then maneno kama "wamehamuka" "ludia" "laha" hii hapana mkuu.
Ha ha Haa sawa nimekusoma kaka dah ha haaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG_20230804_110707.jpg
IMG_20230804_110707.jpg
IMG_20230804_110356.jpg
IMG_20230804_110707.jpg
IMG_20230804_110356.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230804_105915.jpg
    IMG_20230804_105915.jpg
    45.9 KB · Views: 12
  • Screenshot_2023-08-04-10-56-32-850_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
    Screenshot_2023-08-04-10-56-32-850_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
    121.8 KB · Views: 9
Unafanyaje nielekeze mzee
Fungua JF App, gusa pale kwenye vimistari vitatu juu kushoto pembeni ya maandishi (JamiiForums) itakuletea profile yako, utagusa kwenye settings itakuletea options, utagusa kwenye neno signature itakuletea options, kuna sehemu imeandikwa show signature utagusa kwenye kale kaduara kulia ili kuizima. Hapo utakuwa umemaliza.
 
Back
Top Bottom