Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 809
Namie nasuburia jibu.!Kuondoa kovu je...
Namie nasuburia jibu.!Kuondoa kovu je...
poa tusubiriWataalamu waje nahitaji kujua pia...
Anaweza akatumia alo vera au mafuta ya ndege anaitwa Emu na hata kitunguu swaumu pia kinasaidia.kuna ngozi zingine zikiwekwa asali zinawasha na kuuma je unawasaidiaje hao watu au nini wafanye cha mbadala???
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Njia hii inatibu makovu ya aina yote.
Amiiin....Anaweza akatumia alo vera au mafuta ya ndege anaitwa Emu na hata kitunguu swaumu pia kinasaidia.
Nazidi kuandaa masomo zaidi hapo karibuni nitaweka mmbadala wa asali na mafuta ya nazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa makovu ya moto asali mbichi pia inaweza kutibu kwa kiasi chake lakini mara nyingi huwa inayafanya yafifie.