Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Cheti fekiKama cheti siyo chako nenda Kariakoo watakutengenezea chako na picha yako wataiweka, vinginevyo utamharibia mwenzako cheti chake.
Cheti fekiKama cheti siyo chako nenda Kariakoo watakutengenezea chako na picha yako wataiweka, vinginevyo utamharibia mwenzako cheti chake.
Wamsaidie kumbandua au kumbandulia ?Tafute wataalamu wa kubandua vitu wakusaidie kubandua Polepole.
Nenda ofisi waliyokupa hicho cheti,Kisha waambie kina matatzo Kisha wakutolee kipya.Vinginevyo utajuta.Ni cha kwangu, sema walikilaminate vibaya!! Nataka itolewe nipeleke sehem watakayolaminate vizuri, kwa sababu lamination iliyopo inabanduka kwa ndani! Ni CSEE
Heat transfer with mass separation!!! Halafu watu wanalalamika hisabati inatumika wapi??? Ha ha haaa!Unabandua polepole, kata na mkasi kwenye angle pote kuzunguka alafu unaheat na pasi huku unabandua
Halafu kwa nini anataka kulamineitua cheti!? Kwa nini yaani!?Ukiambiwa kitu usikurupuke kutekeleza, changanya na za kwako, kalaminate karatasi nyeupe yenye maandishi kisha jaribu kubandua kwa kutumia pasi, ikiwork ndio uaply hiyo mbinu kwenye cheti,
Vinginevyo utaonekana unacheti feki au chenye kutia mashaka
Kama yupo Dar rejea ile ripoti ya gazeti la mwananchi la juziHalafu kwa nini anataka kulamineitua cheti!? Kwa nini yaani!?lam
Nichek kama unataka kubanduliwa
Nilitaka kuuliza kwanza sababu ya kutoa lamination, so anaiba cheti huyu au??Kama cheti siyo chako nenda Kariakoo watakutengenezea chako na picha yako wataiweka, vinginevyo utamharibia mwenzako cheti chake.
We! Niibe cheti? Halafu nigundue nini!!?? Kimelaminat- iwa vibaya, nataka ku unlaminate ili nilaminate upya!!Nilitaka kuuliza kwanza sababu ya kutoa lamination, so anaiba cheti huyu au??
Kama cheti siyo chako nenda Kariakoo watakutengenezea chako na picha yako wataiweka, vinginevyo utamharibia mwenzako cheti chake.