Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,539
- 9,081
Hapo ni kujiandaa na kifiro tu hakuna namnaNa usipoona sura yoyote it means hutaoa ama hutaolewa?
Hapo ni kujiandaa na kifiro tu hakuna namnaNa usipoona sura yoyote it means hutaoa ama hutaolewa?
Haha asanteHongera mkuu😁😊😊
MhhhhhJinsi ya kumuona mtu utakae muoa au kuelewa nae (DIVINATION)
Mahitaji/vifaa:
1: Apple jekundu
2: Kitana (sio chanuo)
3: Kioo
4: Chumbani peke yako
5: Muda saa 6-8 usiku
Ufafanuzi:
1: Apple - ni tunda lenye siri ndefu katika masuala ya mapenzi..
2: Kitana: Hutumika kusugua nywele kupata nguvu ya siri alionayo kila mwanadamu kila sehemu ya mwili wa mwanadamu ina siri na kazi yake wenye kuzijua wachache mie mwenyewe cjui.
3: Kioo: Nacho kina siri ila moja nikukuonesha some of your future life. Ndio maana hujiona mwenyewe..
4: Chumbani peke yako: Ni siri yako mwenyewe ndio maana hutakiwa kufanya peke yako ikikuridhisha tangaza
5: Muda: Ni vema kuwe muda niliotaja hapo juu kuwe na utulivu hakuna fujo wala kelele...
Cha kufanya:
Chukua apple lako shika na mkono wa kushoto na wa kulia shika kitana tafuna huku unajiangalia kwenye kioo muda huo huo huku ukichana nywele
Fanya hivyo huku unaangalia kioo chako...
Matokeo:
Itatokea picha kwenye kioo ya mschana au mvulana utakae muoa au kuolewa nae... Baada ya muda itapotea mwisho wa zoezi...
Tahadhali:
Usijekumuona mschana au mvulana ambaye hujaridhika nae ukajuta huwezi kujua ni kwa nini huenda ndio Mungu aliyekujalia huwezi pinga.
Labda utampenda ukikuta ana mali zake au kama ni mtu mzima utaolewa uzeeni. Haitishi usiogope ni kama picha tu, utamuona kichwa kama kioo kidogo. Utaishia kifuani au full inategemea na kioo.
Rakims
Upuuzi kama huu,utausikia kwa waswahili wajinga na fukara tu,jamii zilizoendelea,zenye mwanga wa akili,huwezi kusikia huu upuuzi.Jinsi ya kumuona mtu utakae muoa au kuelewa nae (DIVINATION)
Mahitaji/vifaa:
1: Apple jekundu
2: Kitana (sio chanuo)
3: Kioo
4: Chumbani peke yako
5: Muda saa 6-8 usiku
Ufafanuzi:
1: Apple - ni tunda lenye siri ndefu katika masuala ya mapenzi..
2: Kitana: Hutumika kusugua nywele kupata nguvu ya siri alionayo kila mwanadamu kila sehemu ya mwili wa mwanadamu ina siri na kazi yake wenye kuzijua wachache mie mwenyewe cjui.
3: Kioo: Nacho kina siri ila moja nikukuonesha some of your future life. Ndio maana hujiona mwenyewe..
4: Chumbani peke yako: Ni siri yako mwenyewe ndio maana hutakiwa kufanya peke yako ikikuridhisha tangaza
5: Muda: Ni vema kuwe muda niliotaja hapo juu kuwe na utulivu hakuna fujo wala kelele...
Cha kufanya:
Chukua apple lako shika na mkono wa kushoto na wa kulia shika kitana tafuna huku unajiangalia kwenye kioo muda huo huo huku ukichana nywele
Fanya hivyo huku unaangalia kioo chako...
Matokeo:
Itatokea picha kwenye kioo ya mschana au mvulana utakae muoa au kuolewa nae... Baada ya muda itapotea mwisho wa zoezi...
Tahadhali:
Usijekumuona mschana au mvulana ambaye hujaridhika nae ukajuta huwezi kujua ni kwa nini huenda ndio Mungu aliyekujalia huwezi pinga.
Labda utampenda ukikuta ana mali zake au kama ni mtu mzima utaolewa uzeeni. Haitishi usiogope ni kama picha tu, utamuona kichwa kama kioo kidogo. Utaishia kifuani au full inategemea na kioo.
Rakims
Kwa hiyo hizo sifa ulizotoa hapo mkuu ninazo mimi kwa maelezo yako?Upuuzi kama huu,utausikia kwa waswahili wajinga na fukara tu,jamii zilizoendelea,zenye mwanga wa akili,huwezi kusikia huu upuuzi.
Hata beachboys kwenye beach za Zenj,wanao date na totoz za kizungu mpaka ndoa,hawafanyi huu upuuzi.
It's more psychological.....hiyo picha itatikea sababu utakua unaiwazaNi kweli si joke kwako, lakini kwangu naiona imekaa kimiujiza zaidi. Yaani uchane nywele then sura ije??????, nani anyehusika kuleta hiyo sura kwenye kioo??????
Fikra potofuYaani hapo inamaanisha soon utaolewa na kidume mwenzio uwe unapukuchuliwa
Acha ujanja ujanja we mgangaDo not quote things that only pop on your head
Rakims acha fixUjanja upi unaozungumzia?