Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #21
😂😂😂😂
wote wapoAu asie na takoo...
hizi za zamani jamani, nareply comment ambazo sikuwezawewe Money Penny you're a different character😂 sio kwa hizi nyuzi
ndo wewe unataka kulambwa chumvini??😬 kuna uzi nimeona ngoja nitafutehizi za zamani jamani, nareply comment ambazo sikuweza
sio mimi watu walikuwa wananiulizaga jaman, kweli we mgeni JFndo wewe unataka kulambwa chumvini??😬 kuna uzi nimeona ngoja nitafute
NYUZI ZANGU ZINGINE
sauwaUmecheka zako kutoka kazini unakuta mke yupo chumbani kavaa gauni kama ambalo angevaa kwenda sokoni anaangalia Juakali kwenye simu yaani hana taimu na wewe.
Chumbani ukikaa watoto wanaingia wanatoka wanaingia wanaenda na mama ndio anawaita Kuwaagiza kazi hii fanya ile lete hiki mpe baba hiki yeye alipo ndio hapo hapo hadi atakapoona yeye anyanyuke. Huyu wa hivi nae ndio udhaifu wake labda. Yeye simu yake iwe na bando tu.
Tuishi nao kwaakili🤔
Haleluyah??Nimeokoka
Nauza maji ya upakoHaleluyah??
HahahahahaNauza maji ya upako