Nasema
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 556
- 344
Mengi sana mazuri yamesemwa. Kingine cha kuongezea msisitizo tu kwa wadada ni kwamba sio kila siku unakaa kungoja mwanaume ndio aanze kutaka mambo au kukuomba. Jitahidi na wewe uwe unaanzisha game, mchokoze hadi ainuke. Sometimes mfanyie kila kitu naye ajisikie raha ya kufanywa!