Itabidi nami wa kwangu akifikisha umri huo baby class ihusike...
Ila vipi siku za kwanza kwanza uliwezaje kupata amani..
Si unajua mtoto wa kwanza mzazi unavyokua na uoga uoga
Mpaka leo hii sina amani mkuu lazima nipige simu mara kwa mara nijue anaendeleaje maana ni mtundu sana kama alivyo wako ila ananipa faraja sana ndo mtoto wangu wa kwanza...hahaha kama jamaa alivyosema nilikuwa nna hamu sana aanze shule ili nilipe ada
Mpaka leo hii sina amani mkuu lazima nipige simu mara kwa mara nijue anaendeleaje maana ni mtundu sana kama alivyo wako ila ananipa faraja sana ndo mtoto wangu wa kwanza...hahaha kama jamaa alivyosema nilikuwa nna hamu sana aanze shule ili nilipe ada
Kama una mashaka mpeleke kwa doctor wa watoto.
Kuna taizo la ulimi kuungana na mdomo; kuna mtoto wa ndugu yangu alikuwa na hilo tatizo hosp wakamkata. Ulimi unakuwa hauwezi kuzunguka.
Otherwise watoto utofautiana; kuna wanaowahi kila kitu na kuna wanaochelewa.
Lizzy hili hata mimi nakubalina nalo mwanangu kaanza kukaa akiwa na miezi 3 watu wakesema ataumia cause mtoto wa kiume kukaa ni mpaka miezi 5[MENTION=147984]
Kwa uzoefu wangu hamna ajabu yoyote kwa mtoto wa kiume kutembea kabisa akiwa na miezi 10-11, ama kuongea na kuelewa maneno madogo madogo(mama, baba, lete, asante, poa) kuelewa ukimtuma ama ukimkataza kitu kuanzia miezi 11 na kuendelea.