Jinsi ya 'Kumatch' mavazi

Hahaaaa! Hebu waache shemeji zangu.
mm mwenyewe wa uko ndo maana nawasema maana wanaume wetu ni washamba
anavaa suti na pekosi huku ameweka masikioni mwake zile eyephone za studio wanarekodia na mkononi
kashika redio kubwa anatembea kwenda shamba wewe uliona wapi suti kuvaliwa shamba hahahahhaaa (jokes)
 
mm mwenyewe wa uko ndo maana nawasema maana wanaume wetu ni washamba
anavaa suti na pekosi huku ameweka masikioni mwake zile eyephone za studio wanarekodia na mkononi
kashika redio kubwa anatembea kwenda shamba wewe uliona wapi suti kuvaliwa shamba hahahahhaaa (jokes)
Kwa msukuma hilo linawezekana kabisaa, hata suti na sandles.
 
Mavazi yanategemeana na rangi ya mwili wako but mostly shari jekundu linaendana na suruali black,cardet kaki,dark blue jeans
 
Back
Top Bottom