gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
hata kama ni mfuasi wa ile imani ya ile dini manake lile si dhehebu ya shika neno??Lool usivae suruali nyeupe labda kama unacheza golf au yakulalia au wewe ni trafic police
hata kama ni mfuasi wa ile imani ya ile dini manake lile si dhehebu ya shika neno??Lool usivae suruali nyeupe labda kama unacheza golf au yakulalia au wewe ni trafic police
Ha ha ha ha hausikute hao ni wasukuma maana kwenye mavazi wanavaa kama wako mgodini
mm mwenyewe wa uko ndo maana nawasema maana wanaume wetu ni washambaHahaaaa! Hebu waache shemeji zangu.
sijakupania shem jamani ndivyo ilivyo lakini halafu nimesahau kituDuh kweli mmetupania....
Hivi suruale nyeupe inaendana na shati gani.maana nina suruali yangu ila nashindwa kuivaa mara nyingi.
Unakuta kavaa suruali nyeupe na bukta kubwa nyekundu
Lool usivae suruali nyeupe labda kama unacheza golf au yakulalia au wewe ni trafic police
ndiyo ukweliNyie watu mmenichekesha teh
Au kama mabaharia wa azam marineLool usivae suruali nyeupe labda kama unacheza golf au yakulalia au wewe ni trafic police
Nitumie basi picha yako nione msukuma wewe unavyotokelezeaga teh.Ukabila wa nini tena kwenye mambo ya mavazi??!! Hebu tuacheni na ushamba wetu....
Kwa msukuma hilo linawezekana kabisaa, hata suti na sandles.mm mwenyewe wa uko ndo maana nawasema maana wanaume wetu ni washamba
anavaa suti na pekosi huku ameweka masikioni mwake zile eyephone za studio wanarekodia na mkononi
kashika redio kubwa anatembea kwenda shamba wewe uliona wapi suti kuvaliwa shamba hahahahhaaa (jokes)
hhahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiii umeonaeee!Kwa msukuma hilo linawezekana kabisaa, hata suti na sandles.
Wasukuma watatudunda mwaka huu ahhaha, hatuwaachi wapumueKwa msukuma hilo linawezekana kabisaa, hata suti na sandles.
Hahahaaaa!! Mie simooooo!Wasukuma watatudunda mwaka huu ahhaha, hatuwaachi wapumue
Teh wewe si umeona watu wa kuwatania ni wakwe zako.Hahahaaaa!! Mie simooooo!
Sema shemeji zangu, hilo la wakwe zito kidogo teh!Teh wewe si umeona watu wa kuwatania ni wakwe zako.
Hahaha ngoja tu niseme wakwe, angalau utaanza kuwaonea huruma kuwataniaSema shemeji zangu, hilo la wakwe zito kidogo teh!
We mwana weeeh! Basi nimeacha aiseeHahaha ngoja tu niseme wakwe, angalau utaanza kuwaonea huruma kuwatania