return of cs
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 130
- 23
Kutokana na mabishano yaliyokua yakiendelea humu juu ya kipi kinafaa kati ya dushelele ama kibamia, na hatima kuwa wenye vibamia hawana chao.hili ni suluhisho la wenye vibamia na wao waweza kua na muhogo wa uhakika kabisa.
Nilipokua shinyanga miaka ya 98 kulikua na miti aina ya madodoki kwa jina lililozoeleka shinyanga kutokana na matunda ya mti huo yakikauka hutumika kama madodoki kujisugulia wakati wa kuoga, vijana wengi wallitumia hii miti ili kuhakikisha kuwa wanamiliki limuhogo la uhakika na kweli tulifanikiwa na mpaka leo wapo wanaotumia njia hiyo.
Chakufanya unatafuta mti ulotoa hayo matunda yakiwa bado madogo ama saizi ya kati kisha unalichanja kidogo na hutoa utomvu nawe unajichanja kwenye uume na kupaka ule utomvu, kwa muda huo unatakiwa uhakikishe ule mti unakua na lile tunda pia, kutokana na ukuaji wa lile tunda nawe uume wako hukua pia na utakapoona umefikia saizi unaitaka unapaswa kwenda kuukata ule mti ama kulichuma lile tunda.
Si Tanzania tu pia malawi huu mti huitwa mvunguti na wao huutumia kwa style hii. ‘mvunguti tree is useful to men that are less endowed,When a man feels he has problems with the size of his penis, he goes to this tree and identifies a fruit that has just popped up.
He makes a small cut at the very end of the fruit and monitors it as it grows. Depending on the size he wants for his penis, he plucks out the fruit when it reaches that size, goes home, grinds it, and then eat it' hiyo ni malawiSenegal pia na huutumia huo mti kwa namna hii.
From Senegal down to South Africa the Kigelia fruit has a long history of both consumption and topical application. It is valued as an aphrodisiac, a disinfectant and a cure for dermal complaints.
Adolescent boys and girls use the fruit for enhancing growth of the genetalia and breasts respectively. Women rub an ointment, made from Kigelia fruit pulp, onto their breasts as a skin tightening, breast firming and enlarging treatment.This treatment is also used on babies in the belief that they will grow to be fatter.
Kwa ambae hajaelewa chochote ni pm
Nilipokua shinyanga miaka ya 98 kulikua na miti aina ya madodoki kwa jina lililozoeleka shinyanga kutokana na matunda ya mti huo yakikauka hutumika kama madodoki kujisugulia wakati wa kuoga, vijana wengi wallitumia hii miti ili kuhakikisha kuwa wanamiliki limuhogo la uhakika na kweli tulifanikiwa na mpaka leo wapo wanaotumia njia hiyo.
Chakufanya unatafuta mti ulotoa hayo matunda yakiwa bado madogo ama saizi ya kati kisha unalichanja kidogo na hutoa utomvu nawe unajichanja kwenye uume na kupaka ule utomvu, kwa muda huo unatakiwa uhakikishe ule mti unakua na lile tunda pia, kutokana na ukuaji wa lile tunda nawe uume wako hukua pia na utakapoona umefikia saizi unaitaka unapaswa kwenda kuukata ule mti ama kulichuma lile tunda.
Si Tanzania tu pia malawi huu mti huitwa mvunguti na wao huutumia kwa style hii. ‘mvunguti tree is useful to men that are less endowed,When a man feels he has problems with the size of his penis, he goes to this tree and identifies a fruit that has just popped up.
He makes a small cut at the very end of the fruit and monitors it as it grows. Depending on the size he wants for his penis, he plucks out the fruit when it reaches that size, goes home, grinds it, and then eat it' hiyo ni malawiSenegal pia na huutumia huo mti kwa namna hii.
From Senegal down to South Africa the Kigelia fruit has a long history of both consumption and topical application. It is valued as an aphrodisiac, a disinfectant and a cure for dermal complaints.
Adolescent boys and girls use the fruit for enhancing growth of the genetalia and breasts respectively. Women rub an ointment, made from Kigelia fruit pulp, onto their breasts as a skin tightening, breast firming and enlarging treatment.This treatment is also used on babies in the belief that they will grow to be fatter.
Kwa ambae hajaelewa chochote ni pm