Tatizo ujaamua kumuacha siku utakapo amua kwa kumuacha utomkumbuka jaribu kufanya vitu unavyopenda kufanya na jiweke bize sidhani kama utapata mda wa kumuwaza mtu km unatoka saa 11 au 12 kwnd kwny shuguli zko na kurudi zko usiku
Cku utakapo sema umtafute mrudiane atakuona bonge la mjinga
Sent using
Jamii Forums mobile app