Jinsi ya kuhama chuo ulichochaguliwa kama hukipendi

Wakuu Mnapotoa Uzi Ni Bora Kua Na Uhakika Nao Kwanza Kabla Ya Uweka Kwa Hadhira.. Huo Utaratibu Wote Mnao Uzungumzia Ni Wa Zamani.Sasa Hv Kuna Maboresho,transfer Zote Ztafanyika Online Kupitia Account Za Wadahiliwa Ambapo Utapaswa Kulipia 30000/= Then Tcu Wenyewe Ndo Watai Direct Transfer Yako Katka Chuo Unachotaka Kuhamia.Siyo Kama Zaman Ambapo Ilimbidi Mtu Atafute Nafasi Ktk Chuo Anachotaka Kuhamia Then Apewe Barua Ya Uthibitisho Kisha Kuipeleka Katka Chuo Alichopangiwa Then Kwenda Tcu Kwa Makamilisho Zaidi.Kwa Wale Wa 1st Round Kipengele Cha Transfer Tayar Kmeshawekwa Kwenye Account Zao Lakin Bado Hakijaanza Kufanza Kaz(blocked) Hadi Pale Udahili Utakapoisha Ndpo Ktaanza Kufanya Kazi Kwa Watu Wa Round Zote...So Ni Bora Kusubiri Muda Ukifika Tcu Itatujuza..Kwa Maelezo Zaidi Nenda Kwenye Profil Yako Then Angalia Contacts Zilizopo Pale Uchukue Namba Ya Mtandao Wa Airtel Coz Nyngne Zote Hazipakan.Then Umuulize Kwa Ustaarabu Huyo Mama Atakae Pokea.kama Atapokea Atakwambia Hvo Pia Na Maelekezo Mengne...
 
n
Ok,,,, mfano umechaguliwa tumaini na unataka kwenda jordan cha kufanya unawahi kwenda jordan unawaomba then wakishakukubalia hukanyagi tena tumaini,, sababu ukichaguliwa na tcu ni kazi moja na kwenda ulikochagua ni kazi ya pili, sababu km usipoenda tumaini hawataweza kukufanyia registration, hivyo utakuwa registed jordan na jina lako likipelekwa tayari utakuwa uko ndani ya system,,, pia unatakiwa kuelewa elimu ya juu si km secondary kwamba kipindi cha mtihani jina lako laweza lisije! La,,,,elimu hii hatma yako iko kwa lecture wa hapo hapo chuoni na chuo chenyewe,,,,,hivyo wakishakukagua na wakakusajili tayari mambo yatakuwia poa na utasoma km kawa cha muhimu usikimbie quiz, discussion, presententio, text cose ni vitu muhimu vitakavyokuwezesha upate GPA safi
afu mkopo inakuaje
 
Sijakuelewa kabisa. Ninachofahamu ni kuwa Kitu ambacho hakiwezekani kabisa ni kuhama chuo ulichochaguliwa,unless labda ingekuwa ulituma application katika vyuo kuanzia viwili na kuendelea.
Sasa unaposema unaweza kuhamia chuo cha private,ilo nalo linanitia wasiwasi,ila inawezekana kujiunga na chuo cha private kama hiko chuo hakifuati Central Admission System ambayo inafanywa na TCU pekee. Sina uhakika lakini nimesikia Muslim University Morogoro hawafuati hiyo system ya CAS. Ila karibu vyuo vyote TZ vinafuata system ya CAS.
kuhia chuo kingine cha private inawezekana : kuna ndugu yangu aliwai soma first year yote chuo kimoja na mwaka wa pili akahamia chuo kingine na TCU WALIMPA KIBARI cha uhamisho, muhimi kama unahitaji fuata utaratibu.
 
Transfer haifanyiki kiholela hivyo. Ingekuwa hivyo basi ni sawa na TCU kufungua pandora box ambayo hawataweza kuifunga. Utaratibu miaka yote upo hivi. Kama UDSM program ya Archeology inahtajh 200 na waliochaguliwa mwanzo wapo wanafunzi 150, manayake kwa watakaotaka transfer itakuwa ni kwa 50 wanafunzi. Where therez available slots then transfer is inevitable. Pia suala la tranfer if not proved by TCU kama una mkopo ndio usahau mkopo.
kuna my bro alihama chuo na TCU walimwamishia mkopo: kuhama posible ilimradi umefuata procedure ingawa kuna usumbufu
NB
KUHAMIA CHUO CHA SERIKARI NI NGUMU SANA KWA PRIVATE IT IS POSIBLE
 
Back
Top Bottom