Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #21
Soma habari yote kabla hujaanza kurusha madongo kwa mleta mada, vinginevyo ungekuwa makini katika kufanya uchunguzi wa kutosha, hata walao kusoma kwa uangalifu mwanzo au mwishoni ungeona habari hii imetoholewa toka wapi, vinginevyo umejiingiza kichwakichwa tu bila kuwa ustahimilivu wa habari kuisoma vizuri na kujiridhisha kama hukumu unayotoa ni sahihi au la.Hii post nimeiona jana kama sio juzi kule fikra huru forum kama sikosei. So ingependeza sana kama ungetoa na credits maana hata huku kuna baadhi ya topics huibwa na kupelekwa forums zingine au blogs na huwa tunalalamika sana kuwa hatupewi credits na hao watu.
So we have to do what we preach
Kwa kukusaidia tu jaribu kurudia habari hiyo na mwishoni utabaini wapi imetoholewa.