Chaz Koillah
Member
- Jan 4, 2018
- 38
- 14
Mzunguko mreeeeefuuuuu kumbe ulitaka kutupatia no ya mganga haya tutamtafuta
Mzunguko mreeeeefuuuuu kumbe ulitaka kutupatia no ya mganga haya tutamtafuta
Mzunguko mreeeeefuuuuu kumbe ulitaka kutupatia no ya mganga haya tutamtafuta
HelaAisee shida yote ya nini hii?
Sasa yameenda wapi?Babu yangu alikuwa anafuga haya madude siku kafa tulikoma.sitasahau nilivyokula makofi na kukwaruliwa na makucha mgongoni.halafu mi ndo nilikuwa kipenzi cha babu yangu asee nadhani asingekufa mapema alikuwa anirithishe.bahati mbaya alikufa ghafla tu asubuhi kaamka kanywa kahawa yake akakata moto hapohapo!daahh hapo ndo kisanga kilianza
Yalianza kuipiga nyumba mawe na kuvunja vyombo ndani.wakaitwa maulamaa kutoka usangi wakapiga duaa hapo yakakimbia mtaani ilikuwa vurugu.usiombe upigwe upamiwe na jini likiwa linahaha kuokoa maisha yake!kwanza yalikuwa yakilia na kuongea kwamba yamekuwa na familia toka enzi na enzi huko oman leo wanafkuzwa hivyo bila shukraniSasa yameenda wapi?
ahaaaaa mna vituko.hapo kwenu yalikuwa yanawasaidia nini?Yalianza kuipiga nyumba mawe na kuvunja vyombo ndani.wakaitwa maulamaa kutoka usangi wakapiga duaa hapo yakakimbia mtaani ilikuwa vurugu.usiombe upigwe upamiwe na jini likiwa linahaha kuokoa maisha yake!kwanza yalikuwa yakilia na kuongea kwamba yamekuwa na familia toka enzi na enzi huko oman leo wanafkuzwa hivyo bila shukrani
Lol ....Yalianza kuipiga nyumba mawe na kuvunja vyombo ndani.wakaitwa maulamaa kutoka usangi wakapiga duaa hapo yakakimbia mtaani ilikuwa vurugu.usiombe upigwe upamiwe na jini likiwa linahaha kuokoa maisha yake!kwanza yalikuwa yakilia na kuongea kwamba yamekuwa na familia toka enzi na enzi huko oman leo wanafkuzwa hivyo bila shukrani

Mwisho wake ilikuaje??? Hayo majini yalikupiga kivipi??? Kwenye ndoto auBabu yangu alikuwa anafuga haya madude siku kafa tulikoma.sitasahau nilivyokula makofi na kukwaruliwa na makucha mgongoni.halafu mi ndo nilikuwa kipenzi cha babu yangu asee nadhani asingekufa mapema alikuwa anirithishe.bahati mbaya alikufa ghafla tu asubuhi kaamka kanywa kahawa yake akakata moto hapohapo!daahh hapo ndo kisanga kilianza