Jinsi ya kuflash modem za vodacom( huawei e303 )

Jinsi ya kuflash modem za vodacom( huawei e303 )

Kuna Huawei E303s , E303 na E303Hilink sasa ni ipi hapo ndio sahihi coz E303hilink haitumii COM port bali ni kama router inatumia IP address 192.168.1.1
I`m pretty sure ukiangalia Title ya thread, utajijibu mwenyewe...:crazy:
 
nani kakwambia yeye ni begginner?
Basi kama we si begginer emu weka Procedure ya ku-Unlock Huawei E3131 ziko sokoni sasa
Pili ku-upgrade firmware nako ni risky tena zaidi kuliko ku-flash sababu kwa njia aliyotoa kaka mkubwa na aliyotoa gkiwango zote ziko sawa

FAIDA YA NJIA HII
-Iwapo process itafail unaweza kuchukua DATA za Modem nyingine ya E303 uka-RESTORE kwenye modem iliyofail
Mm hii njia naitumia sana kwa E173 na E153 hivo sijawai haribu modem hata siku moja

HASARA ya NJIA ya ku-upgrade firmware
-Iwapo kipindi inasema Downloading files haitofika mwisho juu to some Reasons basi modem ni BYE BYE na hautoweza fanya kitu kingine unatupa tu....Pamoja kuwa ni RAHISI

mkuu, naweza tumia files za 303 ku flash 173?, au kama zipo za 173 naomba unielekeze. natanguliza shukurani
 
Wakuu.

Nimejaribu ku unlock modem yangu ambayo ni used lakini inaniandikia unlock attempting is 0.

Kwahiyo imenigomea kuchakachulika na kuwa universal.

Nifanye ili iwe universal? Au ndio haiwezekani tena?
Shukrani.
 
Wakuu.

Nimejaribu ku unlock modem yangu ambayo ni used lakini inaniandikia unlock attempting is 0.

Kwahiyo imenigomea kuchakachulika na kuwa universal.

Nifanye ili iwe universal? Au ndio haiwezekani tena?
Shukrani.

> Je ni model gani hiyo modem?
> Umetumia "tool" ipi kufanyia unlocking?
 
Wakuu.

Nimejaribu ku unlock modem yangu ambayo ni used lakini inaniandikia unlock attempting is 0.

Kwahiyo imenigomea kuchakachulika na kuwa universal.

Nifanye ili iwe universal? Au ndio haiwezekani tena?
Shukrani.
acha ubahili hiyo imekufa nunua nyingine.
 
mkuu ... Elewa model ya modem sio service provider wako... mfano voda au tigi... model ya modem n kama huawei e173 au huawei e153..... kujua model ya modem yako soma upande wa nyuma wa modem
 
Wakuu.

Nimejaribu ku unlock modem yangu ambayo ni used lakini inaniandikia unlock attempting is 0.

Kwahiyo imenigomea kuchakachulika na kuwa universal.

Nifanye ili iwe universal? Au ndio haiwezekani tena?
Shukrani.

Tumia huawei unlock counts reset
 
modem ndo nini na ikoje maana niliwapigia zantel wanisaidie setting ya simu yangu tecno S9 wakaniuliza modem ya cm nikachemka,nisaidieni
 
Back
Top Bottom