
Ukiwa stand ya sabasaba
Kwakua ww mwenyeji itakubidi upande bodaboda, umwambie akupeleke jamatin kwenye bajaji za kwenda kikuyu
Ukifika hapo utaona bajaji nyingi tu, panda hizo
Kama unaenda chuo mwambie akushushe geti kuu la st john's university of Tanzania.
Then endelea na utaratibu mwingine mkuu.
Nashukuru mkuuUkiwa stand ya sabasaba
Kwakua ww mwenyeji itakubidi upande bodaboda, umwambie akupeleke jamatin kwenye bajaji za kwenda kikuyu
Ukifika hapo utaona bajaji nyingi tu, panda hizo
Kama unaenda chuo mwambie akushushe geti kuu la st john's university of Tanzania.
Then endelea na utaratibu mwingine mkuu.
Kweli mkuu c unajua tena watu wa bodaboda walivyo anaweza kukwambia hata 10,000 wakati ni umbali mfupi tu
Mkuu apo sabasaba hadi tanesco si anakatiza tuu dom sec alafu manispaa, hamna mwendo wa kupanda boda apo atapoteza buku bureKutoka stendi ya sabasaba hadi jamatini/tanesco kwenye bajaji ni 1000 tu kwa bodaboda. Then unachukua bajaji hadi geti la chuo kwa jero tu.
Hiyo buku utaijutia, sema ndo hivyo tena ugeni.
Ni mia tano (500/-) tu bajaji ukipandia hapo jamatini mpaka kikuyuKweli mkuu c unajua tena watu wa bodaboda walivyo anaweza kukwambia hata 10,000 wakati ni umbali mfupi tu