Jinsi ya kufika St. John University Dodoma

Jinsi ya kufika St. John University Dodoma

Ukiwa stand ya sabasaba
Kwakua ww mwenyeji itakubidi upande bodaboda, umwambie akupeleke jamatin kwenye bajaji za kwenda kikuyu
Ukifika hapo utaona bajaji nyingi tu, panda hizo

Kama unaenda chuo mwambie akushushe geti kuu la st john's university of Tanzania.

Then endelea na utaratibu mwingine mkuu.
Kutoka sabasaba hadi chuoni si unatembea tu kwa mguu jamani.ka mji ka dodoma si kakupanda bajaji wala hiace,labda kama unaenda huko nkuhungu au st gema, mi nitoke katikati niende area c kwa boda,labda niwe na haraka sana,huwa nanyoosha miguu tu kuuweka mwili sawa
 
Kutoka sabasaba hadi chuoni si unatembea tu kwa mguu jamani.ka mji ka dodoma si kakupanda bajaji wala hiace,labda kama unaenda huko nkuhungu au st gema, mi nitoke katikati niende area c kwa boda,labda niwe na haraka sana,huwa nanyoosha miguu tu kuuweka mwili sawa
Ila ngoja nitumie bajaji mkuu
 
Kutoka sabasaba hadi chuoni si unatembea tu kwa mguu jamani.ka mji ka dodoma si kakupanda bajaji wala hiace,labda kama unaenda huko nkuhungu au st gema, mi nitoke katikati niende area c kwa boda,labda niwe na haraka sana,huwa nanyoosha miguu tu kuuweka mwili sawa
Mkuu
Kuna situation za kutembea mfano ukiwa na marafiki au unatembetembea lakin yeye najua atakua na mizigo na uchovu wa safari pia
Jinsi ww unavyowaza ni tofauti na yeye mkuu
 
SJUT! Wangekuwa na Fedha tunge disco sanaaaa hapo
 
Back
Top Bottom