Waweza kushuka Mkata pia kama hutaki kwenda Ta mjini, ukachukua gari ziendazo Handeni.Kwa Wale waenyeji wa Mkoa wa Tanga ningependa kunijulisha nawezaje kufika Magareto Forest mimi sikuwahi kufika Tanga na ninaelekea huko kwa Semina ya Wiki2
Natanguliza shukrani zangu za dhati
...Ahsante na niwie radhi nikutokuijua hiyo sehem na kutokua kufikia ndio maana nikakosea kwenye kuiandikaNi Magoroto Forest Mkuu,
Inapatikana Wilaya ya Handeni.
Ukifika Tanga Mjini Kuna Mabus Yanaenda Yanayoenda Handeni.
Ukifika Handeni ni rahisi mno kufika Magoroto kila mtu anapafahamu.
Ni kuzuri mno,Jitahidi ufike uone ni jinsi gani Tanzania Tumebarikiwa Mazingira Tulivu na Yenye Kuvutia.
Jitahidi pia Kutembelea Kalambo Water Falls Ipo Mkoa Wa Rukwa Uone Mungu Alivyotupendelea.
Tanzania ni zaidi ya Dar,
Tanzania ni Kubwa Mnoo.
..Hivi naomba kukuuliza Handeni ndio Muheza!maana nimeambiwa baadhi ya watu kua Magoroto Forest Island ipo muheza kilometers 12 kutoka muheza mjiniNi Magoroto Forest Mkuu,
Inapatikana Wilaya ya Handeni.
Ukifika Tanga Mjini Kuna Mabus Yanaenda Yanayoenda Handeni.
Ukifika Handeni ni rahisi mno kufika Magoroto kila mtu anapafahamu.
Ni kuzuri mno,Jitahidi ufike uone ni jinsi gani Tanzania Tumebarikiwa Mazingira Tulivu na Yenye Kuvutia.
Jitahidi pia Kutembelea Kalambo Water Falls Ipo Mkoa Wa Rukwa Uone Mungu Alivyotupendelea.
Tanzania ni zaidi ya Dar,
Tanzania ni Kubwa Mnoo.
Mkuu Kumradhi...Hivi naomba kukuuliza Handeni ndio Muheza!maana nimeambiwa baadhi ya watu kua Magoroto Forest Island ipo muheza kilometers 12 kutoka muheza mjini
Acha upotoshaji magoroto ipo muheza sio handeni, unapanda Mabasi yaendayo tanga mjini ukifika muheza unashuka unapanda bodaboda, au Tex ni kilomita 12 kutoka muheza mpaka magorotoNi Magoroto Forest Mkuu,
Inapatikana Wilaya ya Handeni.
Ukifika Tanga Mjini Kuna Mabus Yanaenda Yanayoenda Handeni.
Ukifika Handeni ni rahisi mno kufika Magoroto kila mtu anapafahamu.
Ni kuzuri mno,Jitahidi ufike uone ni jinsi gani Tanzania Tumebarikiwa Mazingira Tulivu na Yenye Kuvutia.
Jitahidi pia Kutembelea Kalambo Water Falls Ipo Mkoa Wa Rukwa Uone Mungu Alivyotupendelea.
Tanzania ni zaidi ya Dar,
Tanzania ni Kubwa Mnoo.
Acheni kumpotosha mwenzenu magoroto haipo handeniWaweza kushuka Mkata pia kama hutaki kwenda Ta mjini, ukachukua gari ziendazo Handeni.
Angeweza kutumia Google asingekuja hapa. Sielewi kwa nini watu wazito kuchunguza kidogo wanachohitaji.Acheni kumpotosha mwenzenu magoroto haipo handeni
Jamani Lushoto kwetu...jamani Lukozi kwetuUkija Tanga jaribu kufika Lushoto pia kujionea kazi ya muumba wetu ilivyotukuka. View points na misitu ya kutosha. Karibu sana.
Iwe ni wa lukozi?Jamani Lushoto kwetu...jamani Lukozi kwetu
Ni vitu viwili tofauti.SAMAHANI WADAU. .
Hivi mji wa Handeni na pale Bagamoyo Mjini wapi ni pakubwa zaidi au panaonekana pamechangamka sana?
Na vipi Handeni mji na Mafinga Mji wapi pamechangamka sana au pameendelea zaidi?