Jinsi Ya Kudesign Blog Inayolipa Se2

Jinsi Ya Kudesign Blog Inayolipa Se2

Joined
Dec 3, 2013
Posts
28
Reaction score
10
Jinsi ya kujipatia kipato kwa kutumia blog

Awali ya yote napenda kuwashukuru wote mliochangia mada yangu ya kwanza kwa kunishauri vizuri.. Leo napenda kabla ya kuendelea mbali kwenyed kudesign labda tu niseme ni jinsi gani unaweza kujipatia pesa kwa kutumia blog.

Tofauti sana na njia nyingine kama network marketing ambazo huwa zina ukweli ndani yake lakini huchukua muda mrefu sana tena inahitaji bidii kubwa ukizingatia idaidi ya watu ambao ni wasomi ambao wanaweza kuelewa hasa na kujiunga katika mtandao wako ili upate mapato,njia pekee inayoaminika ni GOOGLE ADSENSE.

Google adsesnse ni mtandao wa matangazo unaomilikiwa na google kwa ajili ya kuwakutanisha advertisers,publishers na audience. Advertisers ni kampuni au mtu binafsi ambaye anapenda kutangaza biashara yake, publisher ni mtu yoyote mwenye website au blog au mobile site ambayo kupitia hyo advertiser ataweka matangazo humo ili watembeleaji katika web au blog waone.

Ili uweze kujipatia kipato kutoka google adsense lazoma uwe na blog,website,moblie site au youtube channel a,ambayo inatembelewa na watu.Pamoja na hayo google adsense wana policies na kwamba ni lazima uzifate na uzikidhi ili uweze kupata google adsesnse account.

Mara tu utakapopata account yako ya google Adsense utawea kutengeneza different size za matangazo na kisha kuzipachika katika platform yako ili watembeleaji waone.

Kipato chako kitatokana na watembeleaji wako kubofya yale matangazo au tu kwa kutembelea web au blog yako.
Hivyo ili ujipatie kipato kikubwa inabidi ujue namna ya kuweka contents zenye mvuto ambazo zitavutia watu na pia zisivunje masharti ya google.

Kila mtembeleaji atakaebofya ataukua amekuingizia 0.6 Euro sawa na shilingi mia 4 za kibongo au zaidi kulingana na thamani ya Euro inavyopanda na kushuka.Mbali na wataobofya watembeleaji tu pekee watakupa zaidi ya mapato endapo unawatembeleaji wengi.

Kwa blog kama yangu kwa siku inaingiza zaidi ya Euro 4 pamoja na kuwa watembeleaji sio weni sana.Kwa kuwa napenda sana kublog kwangu Euro 4 si haba ukizingatia huwa na blog si zaidi ya masaa mawili kwa siku tena ninapokua nimechoka.

Ushauri wangu wa bure kama kweli una nia ya kupata pesa kutumia blog kamwe usiweke mbele mawazo ya pesa kwani ni rahisi sana kukata tamaa.

Ni rahisi sana kupata pesa kama uko serious.Mwanzoni ilikuwa ngumu sana kwnagu kwani nilikuwa naandika contents ambazo hazipati watazamaji hapa bongo then nikapata mwalimu alienipa elimu hii na ushuhuda wake jinsi alivyojikwamua kidogo kidogo mapaka sasa ana biashara zake baada ya kupata mtaji zaidi ya dola 5000 kupiata blogging.

Kwa walioelewa somo huu ni mwazo tu cha msingi ni jinsi ya kuidesign blog yako na aina ya contents ambazo zitavuta watazamaji wengi

Kwa leo naishia hapo..i hope wanaopenda watakuwa wameona opportunity iliyopo kwenye google adsense.
 
mkuu me na blog link yake ni hii www.josephmtweve.blogspot.com inakama mwezi xaxa nitapataje views na matangazo
 
Wewe ni Advitser wa zamani ndo maana unatumia Euro acoount ama inakuwaje maana najua wote walifungua kaunt toka mwaka jana ni Dollar
 
Nilipobofya link ya blog yako nimepata ujumbe huu ''Samahani, blogu katika myblogpays.blogspot.com imeondolewa. Anwani hii haipatikani kwa blogu mpya''.

Kuna safari ndefu kwa watz wapate hela kwenye blogs zao kutokana na vitu kama hivi;
1. Poor blog design
2. Poor content
3. Poor traffic base

yaani ni shida
 
Nilipobofya link ya blog yako nimepata ujumbe huu ''Samahani, blogu katika myblogpays.blogspot.com imeondolewa. Anwani hii haipatikani kwa blogu mpya''.

Kuna safari ndefu kwa watz wapate hela kwenye blogs zao kutokana na vitu kama hivi;
1. Poor blog design
2. Poor content
3. Poor traffic base

yaani ni shida



Wengi huwa wanaishia kwenye vila laki laki tofauti na wanigeria au india mtu anaendea kudraw dolar 27000 pia lugha yetu hii watu miaji wachache sana tofauti na kingereza ndo maana hatupati pesa sana
 
Wengi huwa wanaishia kwenye vila laki laki tofauti na wanigeria au india mtu anaendea kudraw dolar 27000 pia lugha yetu hii watu miaji wachache sana tofauti na kingereza ndo maana hatupati pesa sana

Lugha siyo tatizo, tatizo ni content na malengo, yaani sijuwi nisemaje

halafu blog nyingi wanataka waziendeshe bure kwa 100% huku wakitegemea kupata hela kwa style hiyo! mtu hawezi kununua hata domain ya elfu 25? kila mtu .blogspot with poor design and loading speed, poor content arrangement. Kuna blog chache sana unaona watu wapo serious nyingine nyingi ni vituko tu.

Pia ni mhimu mtu ajifunze namna ya kuandika, kanuni za uandishi nk

Watu wanaozungumza kiswahili ni wengi sana shida ni namna ya kuwateka, na imani hata ukiwa na watu elfu 10 tu inatosha kutengeneza hela bila hata adsense
 
Lugha siyo tatizo, tatizo ni content na malengo, yaani sijuwi nisemaje

halafu blog nyingi wanataka waziendeshe bure kwa 100% huku wakitegemea kupata hela kwa style hiyo! mtu hawezi kununua hata domain ya elfu 25? kila mtu .blogspot with poor design and loading speed, poor content arrangement. Kuna blog chache sana unaona watu wapo serious nyingine nyingi ni vituko tu.

Pia ni mhimu mtu ajifunze namna ya kuandika, kanuni za uandishi nk

Watu wanaozungumza kiswahili ni wengi sana shida ni namna ya kuwateka, na imani hata ukiwa na watu elfu 10 tu inatosha kutengeneza hela bila hata adsense


Kwli hapo kwenye uandishi ndipo shida ttz pia google kila siku wanabadili trick za search engine siku zinazomata ni contect sio kama zamani ulikuwa ukiweka meta tags na zile costomization za link lol uko vizuri sasa ni kizungumkuti
 


Kwli hapo kwenye uandishi ndipo shida ttz pia google kila siku wanabadili trick za search engine siku zinazomata ni contect sio kama zamani ulikuwa ukiweka meta tags na zile costomization za link lol uko vizuri sasa ni kizungumkuti

Ndiyo, content is the king. Na tena original content siyo ulizokopi toka ukurasa mwingine google ni rahisi kujuwa hilo. Halafu kwenye social media bado watu ni wageni sana katika kuwateka watu
 
Blog nyingi ni mapenzi, udaku na michezo. Kuna topic nyingi sana za kuandikwa ili ku-solve matatizo ya jamii inayotuzunguka
 
mkuu nahitaji mawasiliano yako ili unisaidie kwenye blog yangu maana nahitaji ushauri zaidi kuuhusu uandishi
Lugha siyo tatizo, tatizo ni content na malengo, yaani sijuwi nisemaje

halafu blog nyingi wanataka waziendeshe bure kwa 100% huku wakitegemea kupata hela kwa style hiyo! mtu hawezi kununua hata domain ya elfu 25? kila mtu .blogspot with poor design and loading speed, poor content arrangement. Kuna blog chache sana unaona watu wapo serious nyingine nyingi ni vituko tu.

Pia ni mhimu mtu ajifunze namna ya kuandika, kanuni za uandishi nk

Watu wanaozungumza kiswahili ni wengi sana shida ni namna ya kuwateka, na imani hata ukiwa na watu elfu 10 tu inatosha kutengeneza hela bila hata adsense
 
Blog nyingi ni mapenzi, udaku na michezo. Kuna topic nyingi sana za kuandikwa ili ku-solve matatizo ya jamii inayotuzunguka
KInachonishangaza kwenye blogs zetu ni pale the same content ambazo mara nyingi ni matukio tena yasiyo hata na mvuto ndiyo utakuta kwenye blogs karibu zote... hatutaki kutengeneza contents zetu wenyewe... tunasubiria habari (in fact not content) kutoka kwenye blog moja kisha isambae kweye blogs zingine zote! Kuna mambo mengi sana ya kuandika lakini sijui ni kwanini tunategemea "copy and paste" for no reason!
 
KInachonishangaza kwenye blogs zetu ni pale the same content ambazo mara nyingi ni matukio tena yasiyo hata na mvuto ndiyo utakuta kwenye blogs karibu zote... hatutaki kutengeneza contents zetu wenyewe... tunasubiria habari (in fact not content) kutoka kwenye blog moja kisha isambae kweye blogs zingine zote! Kuna mambo mengi sana ya kuandika lakini sijui ni kwanini tunategemea "copy and paste" for no reason!

Nimeliona sana hili Na nilitaka niliseme hata mwanzoni.
 
Back
Top Bottom