Jinsi Ya Kudesign Blog Inayolipa Se2

Jinsi Ya Kudesign Blog Inayolipa Se2

Lugha siyo tatizo, tatizo ni content na malengo, yaani sijuwi nisemaje

halafu blog nyingi wanataka waziendeshe bure kwa 100% huku wakitegemea kupata hela kwa style hiyo! mtu hawezi kununua hata domain ya elfu 25? kila mtu .blogspot with poor design and loading speed, poor content arrangement. Kuna blog chache sana unaona watu wapo serious nyingine nyingi ni vituko tu.

Pia ni mhimu mtu ajifunze namna ya kuandika, kanuni za uandishi nk

Watu wanaozungumza kiswahili ni wengi sana shida ni namna ya kuwateka, na imani hata ukiwa na watu elfu 10 tu inatosha kutengeneza hela bila hata adsense
Naamini ni kufanya mambo bila kufanya uchunguzi,kuna kipindi nilikuwa nafuatilia blog mtaalam mmoja akasema hasara ya hizo za free au .blogspot ni kwamba huwezi kuhama na wateja wako lakini ukiwa umesajiri domain yako hata ukibadilisha hosting company bado wateja wako wataendelea kukupata.
Unajua wengi hupenda kufanya mambo bila kuchunguza kwanza,Mungu atusaidie.
 
Thanx for this, let me start working for it. nilifungua blog muda sna for fun bt sikutilia mkazo latika hili la earning money.... umenikumbusha kitu, thanx for that. nmeona namba yako pia nitakuja whatsapp tunaweza ongea kitu.
 
Back
Top Bottom